Nachelea kuonekana nimejaa negativity mkuu, lakini nakusihi ufanye provision (nikitumia lugha ya kihasibu) kwa ajili ya uwezekano kwamba huyu mrembo ana mambo mengi ambayo hayatakupendeza...nazungumza hivi ikiwa mimi ni victim wa infatuations kama wewe tu..ni vema ukawa tayari kuendana na baadhi ya vitabia vyake ambavyo vitajionesha hapa mbeleni kwa sababu vinakuja..
Vinginevyo nawatakia kila la kheri mkuu..mvumiliane!!
ningekuwa mimi ningebeba yule wa pili, haihitaj kumchunguza sana tabia yake sababu anajiachia kwa uhuru. huyu wa tatu, dah, inaweza kuchukua mwaka hujamsoma.!
aisee kaka jasus anamaupako, tangu akutane na sister&pastor wa kwenye panel, kaaz kwel kwel
Doubt any get many
hivi uume kusimama ndio ilikuwa kipimo chako kikuu cha mke mwema? Kwangu mimi hizi zilikuwa tamaaa!
Vigezo ulivyo vitumia kwa huyu wa mwisho ambaye unasema ni mke mwema sijaviona zaidi ya kusema uume wako ulisimama:
Hongera sana Shemeji.
Mbona jina lako nilikitamka haraka haraka linasound kama Klorokwin the Lawyer?
hahaha, nimeshaona nyingi aisee kiasi kwamba rubani wa ndege angekuwa anakaa peupe kama wa daladala nahisi ningekuwa namuelekeza pa kukata kona!Saa zingine najisikiaga kama rubani, kwi kwi kwi.
In a strange way hizo aircraft investigations zinanifanya nisiogope kabisa. Nikipanda small chartered aircrats kama rubani ni mmoja nitakaa nae mbele na kuuliza maswali kama mtoto hadi tufike.
mfyuuuuu... Kitokoinzi we.. Umesahau mke ni wewe? Iv kwanza nkuulize, iyo habari ya kumuona mtu siku ya kwanza na kudindisha,af unajifagilia et mke aliekamilika, umempima kwa kudindisha? Teh teh teh dogo unauaaa
and now you are jesus? And you are speaking in parables? Sikuwezi!
si ulisema we ni mwanafunzi?Au nimekufananisha
weee jamaa, mara kikazi mara upo shuleni unasoma? mmmhQQ. Lakini Hongera sana kwa kujinyakulia kitu cha mkataba
hahahaha dah hizi movie zime affect watu jamani wanatamani kuish maisha ya kimovie movie.
Ila mtunzi wa story amejitahidi sema itabidi atafte script writer na screen player mzuri. Muigizaji ukimweka JB si mbaya anaweza vaa uhusika bila kuwasahau irene wolper na wema pamoja na uwoya waka act kama hao wanawake.
JF now days inaanza kuwa home of people with illusions
kutokuamini hakunisaadii,coz watanzania ni rahisi kuamini uongo kuliko ukweli,hakuna mtu kwenye jamii ataaminika asilimia 100,kutokuamini kulianza zaman sanaahsante kwa feedback,ila story yako siiamini
this is non fiction
hahahahaaaaaaaaa
hahaaahahahahahahahahaaaa
hahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaa
Asprin hubby njoo uone kazi ya majani, halafu plz weka ile picha ya mmea hapa
hahahahhahahaaaaaaaaaaaa hahahahaaaaaaaaaaa hahahahaaaaaaaaaaaaaaaa lol