Hatimaye hatutaishi kama mashetani

Ivan Prosper

Senior Member
Nov 28, 2016
150
94
Hayawi hayawi ss yamekuwa, Serikali yatangaza kupandisha vyeo wafanyakazi wake, kuwaongeza mishahara, kuwapandisha madaraja na kuwalipa malimbikizo ya mishahara wafanyakazi wake wote kuanzia januari mwaka 2017. *kupata vichekesho kama hivi Tuma neno VICHEKESHO KWENDA 15671*
 
Mkuu umechoka kuheshimiwa? Kiukweli nilianza kupata matumani!!!
 
Ungejua matus niliyokutuka kimoyo moyo sijui ungefanyaje ila nimekutukana sana
 
Ndiyo maana MAKONDA anapiga sn vita umiaji wa hii SHISHA,,
Ona sasa inavyokupeleka peleka hovyo,, unawaza kupaa Angani wakati huna mabawa.
 
Back
Top Bottom