Wana JF
Habari za uhakika nilizozipata hivi punde ni kwamba Manji amekunywa sumu kwa nia ya kujidhuru, hivi sasa anakimbizwa aghakhan hospital kwa matibabu!
Tahadhari kwa vyombo vyetu vya usalama..anaweza kuwa anafanya kamchezo alikokafanya siku za hivi karibuni ka kujifanya amechanganyikiwa akaishia Nairobi..kumbe ni mbinu za kukimbia...hivi huyu jamaa ananyang'anywa lini pass yake ya kusafiria?
Wenye habari zaidi tuhabarisheni! Waliokaribu na aghakhan hospital tunaomba survaillence yenu ya kinachoendelea.
Habari za uhakika nilizozipata hivi punde ni kwamba Manji amekunywa sumu kwa nia ya kujidhuru, hivi sasa anakimbizwa aghakhan hospital kwa matibabu!
Tahadhari kwa vyombo vyetu vya usalama..anaweza kuwa anafanya kamchezo alikokafanya siku za hivi karibuni ka kujifanya amechanganyikiwa akaishia Nairobi..kumbe ni mbinu za kukimbia...hivi huyu jamaa ananyang'anywa lini pass yake ya kusafiria?
Wenye habari zaidi tuhabarisheni! Waliokaribu na aghakhan hospital tunaomba survaillence yenu ya kinachoendelea.
Last edited by a moderator: