charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Wasubiri tu kama mungu amepanga wao kuongoza wataongoza lakini msilazimishe kwa kuharibu amani ya nchi.
Laiti nguvu zote walizotumia polisi kuzima maandamano hayo wangezitumia kuyalinda, wangepata sifa kem kem kutoka kwa jamii. Badala yake sasa wanapata matusi! Kweli polisi wetu hamnazo!
Watalijua jiji, na nimesoma yote ni Chaggas, Iraq, na kale ka sifa ketu ka ukatoliki wote wanako, kweli hiki si chama ni genge la wahuni kama alivyosema Shibuda
kumkataa JK pia ni ufisadi kwa sababu ameshinda na anatekeleza majukumu yake vizuri. Tatizo CDM wana pupa ya madaraka.
Watalijua jiji, na nimesoma yote ni Chaggas, Iraq, na kale ka sifa ketu ka ukatoliki wote wanako, kweli hiki si chama ni genge la wahuni kama alivyosema Shibuda
You Looks stupid anyway maana hata huo uchumi unaoosema hauujui. Shut up that mouth that your using to piddleKupanda kwa umeme JK alishasema sio suala la kisiasa bali ni uchumi. Gharama za uendeshaji zimepanda. Kwa hiyo CDM watafute hoja critiqie na sio kuhadaa wananchi wanyonge. Jamani tumechoka kuuawa. Kama ni maandamano basi waandamane viongozi peke yao na sio kutumia raia wasio na hatia.
Madrasa al sul al jihad! Tekibirkula sumu ya panya utazaliwa maeneo menine tofauti na kipande hiki.
Tumeshajitolea kufa na tutakufa na wewe, usijali, tutakuwa wote siku tunakufa.JK=RAIS
BILALI=MAKAMU WA RAIS
PINDA=WAZIRI MKUU
Contracts zao mpaka 2015. Tujenge nchi mengine hayasaidii. Tutakufa bure na kuacha mayatima na wajane. Tutie AKILI
JK=RAIS
BILALI=MAKAMU WA RAIS
PINDA=WAZIRI MKUU
Contracts zao mpaka 2015. Tujenge nchi mengine hayasaidii. Tutakufa bure na kuacha mayatima na wajane. Tutie AKILI
natamani padri Pengo atoe tamko.