Hati miliki ya lugha ya kiswahili

Nyamtala Kyono

Senior Member
Sep 23, 2010
163
34
Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali
Inasemekana sisi Tanzania ndio waongeaji wakubwa wa lugha ya kiswahili duniani, hivyo ni kama hii lugha adhimu sisi ndio wamilki
Je, kuna hatimiliki katika lugha? Sisi tunanufaikaje kutokana na lugha yetu kupendwa na watu wengine na kutumiwa na watu wengine?
 
duh! mzee umaarufu tu unatosha hamna hati miliki wala malipo hapa. ingekuwa hivyo uonavyo wewe ingekuwa balaa.
 
Sio lugha YETU. idadi ya watanzania wanao ongea kiswahili ni kubwa kuliko taifa zingine zote ila inawezekana sana Congo ikatupita maana watu 30M wanaongea kiswahili kule.
Faida kubwa ya kua nchi iongeayo kiswahili kuliko zingine ni kua na accademy ya kutunga, kuoanga na kuendeleza kiswahili hapa nchini, alafu tunawaambia walimwengu maana ya maneno ya kiswahili na jinsi gani yanatumika.
 
Back
Top Bottom