hatariiii

Tutusa kubwa hili, wakubwa naona thread kama hizi ziwe zinafutwa juu kwa juu
 
Ama kweli wadanganyika wametimiza miaka 48 ya uhuru wao!!! Sijui kama kulikuwa na haja ya kuwa huru!
 
sio hivyo,najua lulu kwa ki english ni pearl,but let me be mkweli jina langu halisis ni Lulu pia so I thot haraka haraka kuwa maybe ananifaham,thats why nikastuka,I apologize kama nimewakwaza,sore
hatari kweli sasa hajijui hta kama yeye ni lulu jamani kheeee!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom