bingu wa m
Member
- Aug 10, 2011
- 20
- 7
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru mungu kwa kunionyeshamengi duniani,Kuna jambo ambalo linani nyima usingizi na ni suala tunalolisikiala udini,nime bahatika kufanya kaziubalozi wetu wa Tanzania nchini Somalia miakaya mwisho wa utawala 1990 natulihamishia kazi zetu Ethiopia baada yahapo,Somalia ilianza kupoteza mwelekeo pale ukoo zingine zilipoanza kugawanywakwa misingi ya ukoo na bwana said bare akaona apendelee ukoo wake, jeshi likagawanyika na 1990 vita vilianza nanchi ya Somalia ilifikia mgawanyiko wa clan na clan na kisha sub clanikaendelea hadi sub sub clan,hawa ni watu wa kabila moja dini moja lugha moja, tumeona rwanda mauaji ya watusi yalianza 1959na yakarudi 1994,tumeona nchi ya sudan watu wakiuawa kwa ajili ya rangi yao audini yao,tunaona Burma,Yugoslavia n.k.
Tutakua vipofu au wapuuzi tukiacha tugawanywe kwa misingi yakidini na wanasiasa au wahubiri wetu wa kidini,tutakua tunadanganya nafsi zetukwamba uchaguzi uliopita kwenye baadhi miskitina makanisa katika baadhi ya wilaya hazijatumika kisiasa,tumeanza kuona vituvipya mwaka huu,Napenda kuwasihi watanzania wenzangu kama tunaipenda nchi yetukwa dhati tuwasihi viongozi wetu wa kisiasana kidini waelewe hii ni nchi yetu nahatuna Tanzania ingine wa kiichoma hii,waache ubinafsi na waarithishe watotowao nchi kama walivyo ikuta wenyewe ,Tutakua tunatenda dhambi kubwa kama nchitulioikuta wakristo na waislamu wanakaa pamoja kwa amani na upendo na tukawawachia watoto wetu chuki ambayohaitokwishwa pindi ikiingia,Tusikubali upuuzi huu wana siasa wakituhadaa auviongozi wakidini,tunaomba vijana wote wanchi hii waanzishe kampeni ya kupinga mgawanyo wa kidini,na tarehe 9 mwezi 12 Iwe siku ya kupinga kupandikiziwa chukindani ya nchi yetu .kwani kila nchi ikianza machafuko wahubiri na wanasiasandio wakwanza kukimbia.TAFAKARI EWE MTANZANIA.
Tutakua vipofu au wapuuzi tukiacha tugawanywe kwa misingi yakidini na wanasiasa au wahubiri wetu wa kidini,tutakua tunadanganya nafsi zetukwamba uchaguzi uliopita kwenye baadhi miskitina makanisa katika baadhi ya wilaya hazijatumika kisiasa,tumeanza kuona vituvipya mwaka huu,Napenda kuwasihi watanzania wenzangu kama tunaipenda nchi yetukwa dhati tuwasihi viongozi wetu wa kisiasana kidini waelewe hii ni nchi yetu nahatuna Tanzania ingine wa kiichoma hii,waache ubinafsi na waarithishe watotowao nchi kama walivyo ikuta wenyewe ,Tutakua tunatenda dhambi kubwa kama nchitulioikuta wakristo na waislamu wanakaa pamoja kwa amani na upendo na tukawawachia watoto wetu chuki ambayohaitokwishwa pindi ikiingia,Tusikubali upuuzi huu wana siasa wakituhadaa auviongozi wakidini,tunaomba vijana wote wanchi hii waanzishe kampeni ya kupinga mgawanyo wa kidini,na tarehe 9 mwezi 12 Iwe siku ya kupinga kupandikiziwa chukindani ya nchi yetu .kwani kila nchi ikianza machafuko wahubiri na wanasiasandio wakwanza kukimbia.TAFAKARI EWE MTANZANIA.