Nashangaa TPDF wanakomalia mafuta ya ubuyu sijui kwa sababu yanapatikata MAGWEPANDE kwa uwingi?Hili mbna hawalikanushi?au kwa sababu wao ni watu wa kimapokeo tu ya utafiti wa Wamagharibi?-Aibu sana unapochanganya taaluma na siasa its a disgrace for sure of ur professional
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nashangaa TPDF wanakomalia mafuta ya ubuyu sijui kwa sababu yanapatikata MAGWEPANDE kwa uwingi?Hili mbna hawalikanushi?au kwa sababu wao ni watu wa kimapokeo tu ya utafiti wa Wamagharibi?-Aibu sana unapochanganya taaluma na siasa its a disgrace for sure of ur professional
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
TPDF ulikuwa unamaanisha TFDA Mkuu
Nashangaa TPDF wanakomalia mafuta ya ubuyu sijui kwa sababu yanapatikata MAGWEPANDE kwa uwingi?Hili mbna hawalikanushi?au kwa sababu wao ni watu wa kimapokeo tu ya utafiti wa Wamagharibi?-Aibu sana unapochanganya taaluma na siasa its a disgrace for sure of ur professional
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Chezea wikend ww!TPDF ulikuwa unamaanisha TFDA Mkuu
Dah basi ntakuwa nshachoma maini yangu maana nilizibugia sana kwa km siku mbili hivi mpaka nilivyong'oa jino
Magwepande ndio wapi huko mkuu?
kwa ulimboka