nakumbuka 'biashara ya uchawi Tanzania' ya Maji moto, bila shaka hapa kuna koneksheni fulani, ila bismilahi hata mie hoi.
Mwaga vitu fasta tujionee maruweruwe.
vita italetwa na CCM tu! usituletee vimaandishi vya kubuni na kuhamisha attension za watu! watu kwa sasa wanaelewa adui yao ni CCM tu na si hivyo vitu vya kubuni!
Hizi conspiracy noma!!! Na nia yake ni moja tu...kuwatoa watu kutoka kwenye ukweli halisi na kuwaaminisha uongo! Pole sana mkuu kwa kutumika vibaya!!! Wamekulipa shilingi ngapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.