- Thread starter
- #21
Nimerudia kusoma post yako..hii ishu ni ndogo sana..km alikuwa anarudiarudia maana yake pesa imeenda kwenye namba ile ile ambayo alikuwa anaiwekea pesa..ni kiasi tu cha kuingiza kwenye system na kurudisha pesa iliyozidi.. Km hiyo pesa mteja ameshaitoa itabidi mteja atafutwe na Polisi(kwa watu wenye system hii ishu ndogo sana).
Rogi, Hii issue si kubwa (lakini as we are writing kuna mtu yuko rumande, tena inawezekana akaa huko hadi jumatatu) ndio maana nikasema hizo tigo Pesa ni hatari, kwa issue ndogo kama hii mtu anaenda mahabusu?
tatizo hapa ni huyo mwenye kibanda.
- Hataki kushirikiana, hajasema chochote, amemsomba tu dogo kampeleka Polisi.
- According to dogo, Tigo waligoma kumpa transaction report/statement kwa sababu wanasema mtu sahihi kwenda kuchukua hiyo ni richard (huyo bwana mwenye kibanda), ingekua rahisi kama huyu bwana mmiliki wa kibanda angekua tayari kutoa ushirikiano, sasa yeye anasisitiza tu dogo amlipe pesa, hataki kwenda Tigo