Hatari Mgodini North Mara - Chukua Hatua!

kama hali ni hii ni bora kufunga migodi yote, na hao watu walipe fidia kwa waathirika wote. Bahati mbaya hii inaweza kutokea kwenye nchi kama Tanzania tu. This is disgusting.
 
Sorry i thought wewe ndio chacha mwenyewe. Mkuu i asked if there are scientific Evidences kwasababu we in order to get support from media in western countries we need to these evidence. Hatuwezi tukaapproach for instance BBC na kuwapa info with no evidence.. kuna mashirika mengi tu ambayo will be so interested with this case if we represent this with strong evidence, this includes ngo environmental and sustainable developments groups. SCR has to be based on honest and if barick does follow what they say on their SCR report that is absolute social unaccepted in western communities.

angalia hapa http://www.business-humanrights.org/Search/SearchResults?SearchableText=north+mara&x=0&y=0 kuna kila taarifa zinazoweza kusaidia.

Pia ili kupata undani wa majibu ya serikali Mjengoni angalia katika http://parliament.go.tz/POLIS/PAMS/Docs/HS-18-12-2010.pdf ukurasa wa 33 hadi 62

Chacha
 
Sorry i thought wewe ndio chacha mwenyewe. Mkuu i asked if there are scientific Evidences kwasababu we in order to get support from media in western countries we need to these evidence. Hatuwezi tukaapproach for instance BBC na kuwapa info with no evidence.. kuna mashirika mengi tu ambayo will be so interested with this case if we represent this with strong evidence, this includes ngo environmental and sustainable developments groups. SCR has to be based on honest and if barick does follow what they say on their SCR report that is absolute social unaccepted in western communities.

You are very right,

This is very complicated as far as mine waste concerned; Tailing dama world wide hazina madhara kama haya, hata kama seepage inatokea, hapa kuna mambo mawili lazima tuyajadili au kuuliza

1. Hao watu ni ndugu?
2. Wangapi wameathirika na hii issue ni hao wawili tu au wako wengine wengi?
3. Walianza lini kuathirika? imekuwa muda mrefu au muda mfupi tangu walipocontact na hizo chemicals?

Tukipata hizo preliminary answers ni rahisi tukajua chanzo which in this case is very possible kuwa

1. Mama na mtoto walichota maji directly from the tailing dam! hii na hizo athari ni very very possible. Na kama walichota au kutumbukia sio common practise ya watu wengi, iadha walifanya hivyo kwa kuibia au kulikuw ana shida ya maji then they did a simply suicide attempt!

2. Kama kuna seepage kwenye tailing dams, sumu kubwa ni cynide which is volatile, haikai muda mrefu inapotea, maji yanakuwa na chemicals ambazo effect zake ni long term, ndio maana nikauliza swali la kwanza

Kama waliingia directly kwenye tailing pond:

1. Ni makosa ya waathirika, kama na kama tu (if and only if) mgodi ulishawaonya na kutoa elimu juu ya madhara ya maji ya kwenye tailing dams. Hata wale ng'ombe waliokufa ni kuwa walikunywa maji ambayo yako kwenye tailings dam

2. Ni makosa ya waathirika kama walienda kwa lengo la kufikiri 'kuiba' maji ya sumu; ni swa na waathitika wanaoiba mafuta ya transformer!

3.Kama hakuna vibao/signboard inayoonyesha raia hatari ya yale maji

Nchini chile ilitokea kutokana na watu kuwa ignorance walkuwa wanaiba mercury na kuipika kwa lengo la kujiponya na magonjwa, bila kujua kuwa sumu mbaya kabisa, walikuwa wanaiba kwenye malori yanayobeba hizo chemicals

What to do; ndiyo maana manaswali kama haya ni ya msingi, maana yake, kama tatizo ni watu wenyewe na kampuni imefanya/kuchukua measures za kutosha, kitakachoendelea ni kufanya mazungumzo ya amani na kampuni kwa lengo la kuwasaidia wakapate matibabu. Sina hakika ila inawezekana na ninajua hakuna uhusiano mzuri wa makampuni ya madini Mara na rais wanaowazunguka.


Ikiwa speculation hizo hapo juu zote zitaleta majibu kuwa maji yanayovuja kutoka kwenye tailing dams ndizo zilizoleta hizo athari basi that is not tailing dams, that is 'suicidal dam' halifanyi kazi kama tailing dams, na kwa sababu hii measure zinazotakiwa kufanyika ni kubwa kuliko ninachoweza kuandika hapa; Mine should be closed, walipe fidia na kwa sheria za sasa za watoaji fund, they may not operate in any other countries, kwa sababu fedha za fidia zitawafanya waondoke nchini na ndala tu!

But issue is not so simple, najua tuna hasira na kuwaonea huruma, lakini naangalia commpn operation za migodi na kuwaconsult hata wataalamu wengine; A MATTER NEED more investigation; na kwa wakati huu Chacha hajasema kama amekutana na uongozi wa mgodi kujadili hawa watu wapatiwe matibabu wakati issue zingine zinaendelea. kama mgodi umekataa wachukue video, peleka ITV watu wajitolee kuwatolea fedha za matibabu, though we need to go to the hospital first kujua gharama ni shilingi ngapi!


Cynide ambayo ina short term effects na kuwez kusababisha mambo kama hayo ni volatile kama nilivyosema, still kuwa seepage kutoka kwenye haya mabwawa yanakuwa na chemicals zingine kama lead, arsenic, etc. ( I mean chemicals zote kwenye periodic table!!) However, these chemicals are not harmful kama zitaingia mwilini kwa level ile inayotakiwa, maana zipo kila siku kwenye vyakula vyetu

Hizi chemicals zinapozidi kiwango kinachotakiwa then zinasababusha makansa, this also should be investigated katika hizo seepage zinazoendelea
 
mh,mh,mh hizo picha ni zinatisha kama hali iko hivyo kwa kweli huo mgodi umulikwe
naomba NEMC,LEAT,JET,na wadau wengine walifuatilie suala hilo kwa ukaribu

it is terrible!!!!!!!!!!!
unapeleka kesi ya ngedere kwa hakimu nyani??????????
ni sisi tunaotakiwa kuchukua hatua.. na saa ya ukombozi ni sasa
 
Hii ndio moja ya sababu kwanini watu wa TARIME hawaipendi ccm na serikali yake; serikali inayothamini wawekezaji toka nje kuliko raia walioipa madaraka ya kutawala ; AIBU!!
 
angalia hapa http://www.business-humanrights.org/Search/SearchResults?SearchableText=north+mara&x=0&y=0 kuna kila taarifa zinazoweza kusaidia.

Pia ili kupata undani wa majibu ya serikali Mjengoni angalia katika http://parliament.go.tz/POLIS/PAMS/Docs/HS-18-12-2010.pdf ukurasa wa 33 hadi 62

Chacha

Thanks Chacha, I have gone through both websites, but there is less scientific evidence which back up the story as Waberoya said.Nevertheless I do suggest we put together a letter and any available documentation evidences and we can try to send to media and other relevant environmental protections and sustainable developments research groups.

One of my former lecturer is now a head of research on biodiversity and environmental monitoring (I don't like to mention university name) and he also do research with Environmental and Ecology NGO (both University and GNO is based abroad) . If we could put everything together I could pop in and have a chat with him, he is a very helpful person (he could give us direction on other research (charity) groups who could give us assistance and with help with JF forum member i hope we could push up something for a better change.

I am sure there are few JF members who are expert and skilled in Environmental and sustainable developments issues ( ambao sio mafisadi) and they could give us a hand. I am not sure if invisible could help us to create a steer group regarding this or should we just pm each other?
 
Hali hii inatisha sana hasa kwa vile migodi hii imetapakaa sehemu nyingi za nchi.

Ukweli ambao huenda serikali yetu iliufumbia macho au haikuuelewa wakati inawaruhusu Barrick kuchimba dhahabu hapa kwetu ni kuwa wao hutumia process iitwayo Gold Cynanidation katika kuyeyusha dhahabu. Process hii hutumia Cyanide ambayo ni sumu kali sana inayoweza kuua kila kitu chenye uhahi katika eneo lile; baada ya kuondoa dhahabu, migodi huchanganya mabaki ya Cynide na Sulphur Dioxide ili kuigeuza Cyanide hiyo kuwa Cyanate kwa lengo la kupunguza sumu yake kabla ya kuimwaga mitoni. Hata hivyo Cyanate yenyewe nayo bado ni sumu ingawa siyo kali kama Cyanide. Vile vile process hii huacha kiwango kikubwa sana cha tindikali kwenye mabak yanayotupwa mitonii; mambo yote haya huweza kuathiri vibaya sana afya za watu watumiayo maji yaliyochanganywa na madawa hayo.

Watu hao kwenye picha wanaweza kuwa wameathiriwa na hiyo byproduct ya cynanide itokayo mgodini. Kuna sehemu nyingi sana duniani zimepiga marufuku uchimbaji wa dhahabu kwa kutumia cynide, lakini sijui kwetu Tanzania tuna msimamo gani kuhusu hilo.

Nikimaliza kibarua nitafanya research kidogo kutafuta scientific information zinazoweza kuthibitisha kuwa watu hao kwenye picha wanaweza kuwa wameathiriwa na byproducts za gold cyanidation process; nikizipta nitazileta hapa.
 
Serikali ya CCM ni lini itaanza kujali wananchi wake?

Hivi unaweza kulinganisha Binadamu na dhahabu kama wanavyo fanya hawa CCM?
 
Serikali ya CCM ni lini itaanza kujali wananchi wake?

Hivi unaweza kulinganisha Binadamu na dhahabu kama wanavyo fanya hawa CCM?

Shehe Yahya kishaonya kuwa watakaompinga Kikwete watakumbana na kifo. Sasa unategemea chochote toka kwa serikali inayotegemea wapiga ramli na wachawi kufanya maamuzi mkuu Max?
 
Je, tunayo taarifa kamili kutoka kwa mgodi kuhusu swala hili? There are always 2 sides of a story. Tukumbuke Mkoa wa Mara na hasa mazingira ya mgodi huo ni tofauti na huwezi kuchukua things at face value. Let inquinsitive Journalism take its course. Je, haya maji yenye sumu yamepimwa na mkemia mkuu wa serekali na akasema rasmi kwamba ndio imesababisha hali hii? Taarifa zilizo za uhakika ni kwamba wanajamii wa mazingira ya pale wanahusika kwenye mambo ya wizi na hata kuiba carpet za tailings dam....surely katika hali hiyo, sio sisi wenyewe wa kulaumiwa?
 
Je, tunayo taarifa kamili kutoka kwa mgodi kuhusu swala hili? There are always 2 sides of a story.

Hii sio kweli, sio lazima kuwe na two sides of every story ...kuna mambo mengine ni fact na hayana haja ya kuwa na side nyingine ya story. Umeanza kimakosa mkuu theodora.

Tukumbuke Mkoa wa Mara na hasa mazingira ya mgodi huo ni tofauti na huwezi kuchukua things at face value.

Mkoa wa mara na haya mazingira ni tofauti kwa vipi? mbona husemi? unasema kuwa tukumbuke (ukijumuisha wana jamvi) bila kueleza unachotaka kikumbukwe hapa.

Let inquinsitive Journalism take its course.

ha ha ha ha ... inquisitive journalism tena?

Je, haya maji yenye sumu yamepimwa na mkemia mkuu wa serekali na akasema rasmi kwamba ndio imesababisha hali hii?

Unaongea serikali ipi? hii iliyouza mgodi wa buzwagi kwa bei ya karanga?

Taarifa zilizo za uhakika ni kwamba wanajamii wa mazingira ya pale wanahusika kwenye mambo ya wizi na hata kuiba carpet za tailings dam....surely katika hali hiyo, sio sisi wenyewe wa kulaumiwa?

Acha uongo hapa, taarifa zilizo na uhakika upi? mbona unajichanganya?

Mara useme kuwa unahitaji "inquisitive journalism" whatever the fcuk that means na mara unauliza kama mkemia wa serikali kahusika? .... kisha unajifunga kwa kusema kuwa una taarifa za hakika ... wtf?

Hata kama ikiwa ni kweli kuwa wananchi wameiba hizo carpet? je wenye mgodi wanachukua muda gani kuweka zingine?

- je ingekuwa wananchi wameiba kifaa cha kuchimbia dhahabu, wenye mgodi wangekaa tu wasifanye chochote kwa vile wananchi wameiba kifaa chao? what a f**c*ng shallow argument?
 
Shehe Yahya kishaonya kuwa watakaompinga Kikwete watakumbana na kifo. Sasa unategemea chochote toka kwa serikali inayotegemea wapiga ramli na wachawi kufanya maamuzi mkuu Max?

Cha ajabu, Sheik alishindwa kugundua kuwa Mashabiki wa Simba watamvamia, lakini CCM wanafuata ramli lake, lol
 
Je, tunayo taarifa kamili kutoka kwa mgodi kuhusu swala hili? There are always 2 sides of a story.

The so-called other side of the story hii hapa:

Response to Barrick Gold Corporation's critique of IPM​
‐Report 2009

Following the publication of the IPM​
‐Report 2009 on the web site of "Business and Human Rights
Resource Centre", critical remarks from the two mining companies, namely "Geita Gold Mine"
managed by Anglo Gold Ashanti and "North Mara Gold Mine" managed by Barrick Gold Corporation
(hereafter referred to as Barrick), were published. As the findings near NMGN were rather serious in
terms of Arsenic contamination, the human and environmental impacts in that area have received
the most attention lately.

This document is a response to the so called "inaccuracies and limitations" of our study, referred to
as the IMP
‐Report 2009. We appreciate Barrick's comments, and we hope that this response can
contribute in solving some possible misunderstandings. The focus of our study was to carry out a
scientifically based survey to provide solid results for describing the current environmental chemical
situation in the area. The sampling sites selected can always be discussed, but the analytical
protocols followed and the results obtained are of highest scientific standard.

Therefore, the findings should be used to ensure that the mining activity does not harm the local population or cause irreversible harm to the natural resources. We are sure that this is of great importance also for the companies and authorities responsible for the development of these mines. Therefore, we appreciate Barrick's critical remarks as we are then given the opportunity to reply.
Barrick is generally concerned about the methodology used. We would be very pleased if Barrick can
review our methods, and reply specifically to what those concerns are. Their specific remarks in their response of 15
th December 2009 are addressed under:

1. Barrick states: "Contrary to statements on page 13 and 19, there is no storage facility located in
the Gokona/Gena mining area".
1

We have no comments to this point. If Barrick is interested in guiding us around, introducing us
to the different parts of production and waste management, we would consider accepting such
an invitation.

2. Barrick states: "Contrary to statements made on pages 1, 13 and 19, there have been no tailings
dam spills, or other similar incidents, associated with the North Mara Tailing Storage Facility".

Please show us Barrick's monitoring program of the environmental chemistry downstream you
Storage Facilities. Although no accidents in that area have been reported, one cannot deny an
ongoing subsurface seepage of mining associated spill occurring as long as an ongoing monitoring
program is not available. Our findings strongly indicate that such leaching might be a very likely
explanation for the very high Arsenic concentrations determined in ponds downstream the
tailing storage. Referring to Table 12 reporting analysis of water samples withdrawn from sites
27, 29, 32 and 33, all downstream the large tailing store facility, the Arsenic concentrations in
water samples taken from those sites are very high.

3. Barrick states: "No natural background condition was established in the paper; therefore it is
impossible to characterize a mine‐related impact. The bedrock geology of the entire study area

1​
 
Utafiti wa Kisayansi ambao unabishiwa hapo juu huu hapa:

[FONT=Calibri,Bold][FONT=Calibri,Bold]
Investigation of trace metal concentrations in soil, sediments and waters in
the vicinity of gold mines in North West Tanzania​
[/FONT]
[/FONT]
Åsgeir R. Almås​
1, Charles Kweyunga2 and Mkabwa LK Manoko2

[FONT=Calibri,Italic][FONT=Calibri,Italic]
1 Norwegian University of Life Sciences (UMB) Department of Plant and Environmental Sciences
Post-box 5003, 1432 Ås, Norway. asgeir.almas@umb.no

2 University of Dar es Salaam, Department of Botany, Box 350960, Dar es Salaam, Tanzania.
manoko@udsm.ac.tz
[/FONT]
[/FONT]
[FONT=Cambria,Bold][FONT=Cambria,Bold]

Abstract​
[/FONT]
[/FONT]
[FONT=Calibri,Italic][FONT=Calibri,Italic]
The "Geita Gold Mine" (GGM) and "North Mara Gold Mines" (NMGM) have developed large quarries in the middle of settlements in fertile agricultural lands. Possible hazardous impact on the natural recourse have impelled a pilot study on the trace element contents in soils, sediments and natural waters carried out in June 2009. The need to follow up these studies is obvious as several sites have accumulated potentially hazardous contents of trace elements. The previous accidental spill that took place from the NMGM in May 2009 has seriously contaminated sediments and waters nearby.

However, other sites more remote from this site are affected, as particularly the contents of Arsenic,
As, was found to be unacceptably high in both sediments and waters. Although the contamination
situation was less severe in the area near GGM, also findings from this place show that As contents in sediments is worrying. Detailed biogeochemial studies at both places are highly recommended. Along with such studies, there is a pressing need for an extensive study of the population, their diet and agricultural management practices, to map particularly the As sources, its transport in the food chain and finally its content in human tissue samples of different groups of the populations.
[/FONT]
[/FONT]
 
Hii sio kweli, sio lazima kuwe na two sides of every story ...kuna mambo mengine ni fact na hayana haja ya kuwa na side nyingine ya story. Umeanza kimakosa mkuu theodora.



Mkoa wa mara na haya mazingira ni tofauti kwa vipi? mbona husemi? unasema kuwa tukumbuke (ukijumuisha wana jamvi) bila kueleza unachotaka kikumbukwe hapa.



ha ha ha ha ... inquisitive journalism tena?



Unaongea serikali ipi? hii iliyouza mgodi wa buzwagi kwa bei ya karanga?



Acha uongo hapa, taarifa zilizo na uhakika upi? mbona unajichanganya?

Mara useme kuwa unahitaji "inquisitive journalism" whatever the fcuk that means na mara unauliza kama mkemia wa serikali kahusika? .... kisha unajifunga kwa kusema kuwa una taarifa za hakika ... wtf?

Hata kama ikiwa ni kweli kuwa wananchi wameiba hizo carpet? je wenye mgodi wanachukua muda gani kuweka zingine?

- je ingekuwa wananchi wameiba kifaa cha kuchimbia dhahabu, wenye mgodi wangekaa tu wasifanye chochote kwa vile wananchi wameiba kifaa chao? what a f**c*ng shallow argument?

I will not dignify your abusive/aggressive literature with an answer, as you believe you are smart.

Shallow...I don't think so am a realist and look at both sides. You look at heresay. Have you actually known the environment being referred to.

There is a saying those who know do not speak and those who speak do not know. Facts is 2 sides of a story.
 
Je, tunayo taarifa kamili kutoka kwa mgodi kuhusu swala hili? There are always 2 sides of a story. Tukumbuke Mkoa wa Mara na hasa mazingira ya mgodi huo ni tofauti na huwezi kuchukua things at face value. Let inquinsitive Journalism take its course. Je, haya maji yenye sumu yamepimwa na mkemia mkuu wa serekali na akasema rasmi kwamba ndio imesababisha hali hii? Taarifa zilizo za uhakika ni kwamba wanajamii wa mazingira ya pale wanahusika kwenye mambo ya wizi na hata kuiba carpet za tailings dam....surely katika hali hiyo, sio sisi wenyewe wa kulaumiwa?

Kwa hiyo huyu Bibi na huyo mtoto mdogo ndio waliiba hizo tailings dam?
 
Theodora ulitaka the other side of the story sasa umeipata mbona huijadili au wewe ndio TT mwenyewe?
 
Theodora ulitaka the other side of the story sasa umeipata mbona huijadili au wewe ndio TT mwenyewe?

Mwafrika is the smart one...let him speak. I know more than what meets the eye, do not just take in all that you read, take the courageous act of visiting the area. Fuatilia pia historia ya sehemu hiyo ya Nyamongo.

The truth always sets us free...But let it be with a capital T
 
Back
Top Bottom