Jana ktk taarifa ya habari ya radio mwangaza ya saa 1 usiku nilimsikia Prof. Kikula akiwaambia wakuu wa wilaya waliokuwa wametembelea chuo hicho kuwa wanasiasa wasimshinikize kuwarudisha wanafunzi hao kwani anazo taarifa kuwa walitengeneza mabomu ya petroli ili kupambana na Polisi endapo wangekwenda kuwatawanya kwa nguvu hivyo kungepelekea chuo kulipuliwa na kuwaka moto.
akil mgando ndo zakutuma,mwambie shoga mwenzio alete ushahid so ushoga.vp leo ukiambiwa mie mmeo?Na lazima watakuwa wafuasi wa MAGWANDA, kwani ile rangi nyekundu ndio maana yake ya mauaji, vurugu, fujo nk. Wafukuzwe tu ndio malipo yakumfuata kilaza Lema. Haya sasa Magwanda mmeona faida yake
mkuu mbona matusi mengi?hapa 2nakosoana kistaarabu bt co kwa jazba na matusi,take bow plz..akil mgando ndo zakutuma,mwambie shoga mwenzio alete ushahid so ushoga.vp leo ukiambiwa mie mmeo?
njoo uwe sawa il kukutoa tongotongo za uzembe,mwiz rafikie mwinzie.hakuna tus ila maneno makal il uache akil za nyumbu na ushabik wa kizembe take care kimwanamkuu mbona matusi mengi?hapa 2nakosoana kistaarabu bt co kwa jazba na matusi,take bow plz..
Kauli ya makamu mkuu huyo iliungwa mkono na wakuu hao wa wilaya ambao walitaka uongozi wa Udom usiwarudishe kirahisi wanafunzi hao ili wajifunze kwanza kuwa walichofanya hakikuwa kizuri.Tena mkianza kuwarudisha rudisheni wana-CCM, hao wa Chadema achana nao maana ndio wanaoanzisha vurugu na uvunjifu wa amani hawana shukrani hao hata siku moja na wala hawajui kutoa fadhila zaidi ya kulalamika kila kitu, alisikika akisema mmoja wa wakuu hao wa wilaya.Hivi hawa wakuu wa Wilaya zetu zimo kweli jamani? hiyo ni pointi yakuongea na wenzio wakusikileze? inamaanisha chuo ni cha waccm tu na sio vyama vingine? Tusiingize mambo yasiasa, kwenye haki. Huyo atakuwa kilaza na inabidi achunguzwe zaidi. refer MWANANCHI 27.6.2011Jana ktk taarifa ya habari ya radio mwangaza ya saa 1 usiku nilimsikia Prof. Kikula akiwaambia wakuu wa wilaya waliokuwa wametembelea chuo hicho kuwa wanasiasa wasimshinikize kuwarudisha wanafunzi hao kwani anazo taarifa kuwa walitengeneza mabomu ya petroli ili kupambana na Polisi endapo wangekwenda kuwatawanya kwa nguvu hivyo kungepelekea chuo kulipuliwa na kuwaka moto.
Nakubaliana na Prof Kikula, hizo habari ata mimi nimezisikia kutoka kwa mwanafunzi mmoja ambae kasimamishwa chuo! Inasemekana ni maagizo kutoka kwa Lema
Kwenye red
Nashauri pindi wanafunzi wakirudishwa nyumbani kwa maana ya kufunga chuo, walimu na viongozi wa chuo nao wapelekwe likizo isiyo na malipo hadi chuo kitakapofunguliwa. Kama wapo kufundisha na wanafunzi hawapo kwa nini waendelee kulipwa?
Chuo cha UDOM siku hizi kinafundisha ulipuaji wa mabomu? je kunauchunguzi wowote ambao umebainisha kama wanachuo hao wametengeneza hayo mabomu na kama imejulikana hatua gani zimechukuliwa zidi yao? au ni kukurupuka tu na kuingiza siasa za maneno pasipo vitendo? kinachohitajika hapo ni wanafunzi kupewa haki yao tu ndicho kitu cha msingi na sio visingizio eti walitaka kutengeneza mabomu. Wanafunzi wapewe haki yao na chuo kifunguliwe kama uchunguzi ukifanyika basi sheria ichukue mkondo wake sio kukurupuka tu na maneno yakuambiwa au kusikia ni kutaka kuzima jitihada za wanafunzi kupata haki yao.Jana ktk taarifa ya habari ya radio mwangaza ya saa 1 usiku nilimsikia Prof. Kikula akiwaambia wakuu wa wilaya waliokuwa wametembelea chuo hicho kuwa wanasiasa wasimshinikize kuwarudisha wanafunzi hao kwani anazo taarifa kuwa walitengeneza mabomu ya petroli ili kupambana na Polisi endapo wangekwenda kuwatawanya kwa nguvu hivyo kungepelekea chuo kulipuliwa na kuwaka moto.
nakubaliana nawewe kabisa mkuu watu wengine wametumwa humu JF kuwakilisha mtu fulani, maneno yakusikia vijiweni sio yakukurupuka nayo watu wengine mawazo finyu.Dah sijaelewa vizuri kama umeandika wewe kwa utashi wako au kuna mtu alikua nyuma yako akikushurutisha kuandika hayo uliondika! hivi na wewe kabisa unaingia kwenye 'story' za kijiweni? kama mambo ndivyo yalivyokuwa, mbona hukupeleka taarifa kwa wahusika?ungesaidia sana wale wanafunzi wasirudishwe nyumbani ilhali 'mbaya' anajulikana. think globally before you speak, one day utafungwa. Chunga sana!!!!
Peleka unafiki wako kule, Lema hawezi kuwa kichaa namna hiyo. Hao ni watu wa usalama wa Taifa na fitna zao wanajitia wanafunzi kumbe wapo kazini wakijitahidi wafanye madudu ili ionekane chuo hicho kimeingiliwa na siasa hususani CDM.Nakubaliana na Prof Kikula, hizo habari ata mimi nimezisikia kutoka kwa mwanafunzi mmoja ambae kasimamishwa chuo! Inasemekana ni maagizo kutoka kwa Lema
Mambo yakusikia wapi na wapi? ulichukua hatua gani baada ya kusikia au ndo umempa prof. taarifa? becareful na mambo yakijiweni utafungwa.Nakubaliana na Prof Kikula, hizo habari ata mimi nimezisikia kutoka kwa mwanafunzi mmoja ambae kasimamishwa chuo! Inasemekana ni maagizo kutoka kwa Lema
Jana ktk taarifa ya habari ya radio mwangaza ya saa 1 usiku nilimsikia Prof. Kikula akiwaambia wakuu wa wilaya waliokuwa wametembelea chuo hicho kuwa wanasiasa wasimshinikize kuwarudisha wanafunzi hao kwani anazo taarifa kuwa walitengeneza mabomu ya petroli ili kupambana na Polisi endapo wangekwenda kuwatawanya kwa nguvu hivyo kungepelekea chuo kulipuliwa na kuwaka moto.
Hilo ndio neno usalaa wa taifa wanataka kutawala nchi hii milele,ukweli ilipaswa mtu yeyote ambaye amepita usalama wa taifa asiwe mwanasiasa fikira akina Hassy Kitine, Mwang'onda jr, Jakaya Kikwete, Membe,nMkuchika,nChiliga, Zakhia Meghji, Mrema hawa watu wako madarakani wakati wanatumikia usalama wa taifa ndio maana nchi haiendi,kila wakati wananigiza propaganda za kutishia wananchiPeleka unafiki wako kule, Lema hawezi kuwa kichaa namna hiyo. Hao ni watu wa usalama wa Taifa na fitna zao wanajitia wanafunzi kumbe wapo kazini wakijitahidi wafanye madudu ili ionekane chuo hicho kimeingiliwa na siasa hususani CDM.