Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,389
maadamu alisema si wote basi mimi nitaoa mwenye masters of education ila si wa sociology ambao huwa ma feminist na wanajua sana ishu za gender
Hilo neno feminist linatumiwa vibaya, feminist wa kweli anaelewa umuhimu wa mwanamme. Na mwanamme anayejua dunia ya leo inavyoenda kuwa feminist (yeye mwanamme) si ajabu.
Watu wasi confuse wanawake walio bitter na wanaume kuwa ndio feminist. Hicho ni kitu tofauti.