yeye mbona anapekua ya kwake?,ndugu yangu abiria chunga mzigo wako,Si una yako? ya mwenzio unaitakia nini? Utaugua vidonda vya tumbo wewe kwa wivu!
yeye mbona anapekua ya kwake?,ndugu yangu abiria chunga mzigo wako,Si una yako? ya mwenzio unaitakia nini? Utaugua vidonda vya tumbo wewe kwa wivu!
Kuna ambacho hataki ukione kwenye simu yake,heshimu hilo.....:suspicious::suspicious:
If you do not trust her and she is not helping you to trust her ,then let her go.......:car:
Kuna msichana nipo nae kwa uhusiano for about 4 years now, mi nafanya kazi flani hapa Dar na yeye yupo chuo flani Dodoma. Tulianza uhusiaano 2007 ye alikuwa Form 4 na mi nilikuwa Chuo. Ila shida napata naye siku zote ni kuwa yeye hupenda sana kuchunguza simu yangu ataanza maswali kuhusu contacts zote za majina ya kike asoyajua, message zote ila yeye ananikatalia yake. Alivyoona namsumbua kaamua kuweka SECURITY CODE. Kuna nini hapo?
Kuna msichana nipo nae kwa uhusiano for about 4 years now, mi nafanya kazi flani hapa Dar na yeye yupo chuo flani Dodoma. Tulianza uhusiaano 2007 ye alikuwa Form 4 na mi nilikuwa Chuo. Ila shida napata naye siku zote ni kuwa yeye hupenda sana kuchunguza simu yangu ataanza maswali kuhusu contacts zote za majina ya kike asoyajua, message zote ila yeye ananikatalia yake. Alivyoona namsumbua kaamua kuweka SECURITY CODE. Kuna nini hapo?
umeshaambiwa kuwa wewe ni kondakta na hilo basi lina wenyewe. In short. umeshikilia pembe kuna mwenyewe anakamua
Hakufai huyo, hakuna kitu kinachovunja ndoa siku hizi kama simu, maana inafikia mtu kila anapoenda (Chooni, bafuni ,nk) yupo na simu mkononi na akihisahahu tu mwenzie keshaidaka fast na kuanza kuipekuwa
Kwa mapenzi ya kweli na ya dhati amabyo hayana cheating hakuna haja ya kuzuia simu yako kwa mwenzio, unapoizuia tu mtu anakuja na maswali mengi mno, kuzuia simu ni kukosa uaminifu kwa mwenzio
kiukweli mnatakiwa muwe free kiasi hata simu ikilia na mwenenayo hayupo basi unaweza kupokea na kujibu hiyo simu na hata msg unaweza kuzijibu,
Simu ya mtu ni siri. Kisheria hutakiwi kupekuwa simu ya mtu bila yeye mwenyewe kukuruhusu
Apo kaka mpo wengi,pole sana kama kweli unampenda
mkuu hapo kuna kamchezo unachezewa, though i cant be very certain, me nimewahi pia kumpenda mdada na ugomvi ulikuwa ni simu, alikua tukikutana kabla ya salamu anaomba simu kwanza, ata peruzi weeee atauliza weee mpaka roho yake itakate......sasa issue nichukue simu yake ni balaa, aliwahi kunikimbiza mtaaa mzima kisa nimechukua simu yake, saa nyingine nikikataa kumpa mpaka ananing'ata mkono niachie, nikaona isiwe taabu. nikafanya uchunguzi na all my doubts were true, nika break up nae, kwisha habariKuna msichana nipo nae kwa uhusiano for about 4 years now, mi nafanya kazi flani hapa Dar na yeye yupo chuo flani Dodoma. Tulianza uhusiaano 2007 ye alikuwa Form 4 na mi nilikuwa Chuo. Ila shida napata naye siku zote ni kuwa yeye hupenda sana kuchunguza simu yangu ataanza maswali kuhusu contacts zote za majina ya kike asoyajua, message zote ila yeye ananikatalia yake. Alivyoona namsumbua kaamua kuweka SECURITY CODE. Kuna nini hapo?
acha kuchunguza simu ya mwenzako, nadhani ulichokuwa unakitafuta umekipata uchunguzi na wivu wako umeishia kuwekewa password sasa roho inakuuma unaona unaibiwa. Achana na simu za wanawake na pia mwambie mwenzako akae na simu yake aachane na yako. Kila siku simu zinaharibu mahusiano na nyie ni victims wa hali hiyo.
Halafu mmekaa ktk mahusiano miaka minne na mtu bila ya kuanza kufanya taratibu za uchumba na kuoa? ndio maana msichana amekuona huna maana zaidi ya kuona unampotezea muda na kwa taarifa yako wenzio wanakuchapia ndio maana umewekewa password ili usione kinachoendelea na umetafuta mwenyewe kuyajua na sasa yamekuzidia unakuja huku tukushauri.
Kingine mwanaume unatakiwa kuwa na msimamo na pia kama unahisi kuna tatizo wasiliana na mwenzio na umuulize kwa nn anaweka password kwenye simu yake, nadhani kama anakupenda na kukujali ataitoa hiyo password ila ukiona haijatolewa ujuwe hakupendi na hakuthamini
Mwisho videmu vya CBE Dodoma ni vicheche mno kama ndio yuko hapo kapime ngoma haraka kisha piga chini
ameshawahi kukuta namba za simu za wasichana watatu ikiwepo ya binamu yangu, wote hao walikula matusi. Na huwa akikuta namba kama ana mashaka nayo basi atakimbia na simu kwao mpaka baada ya siku 1 au mbili ndo anairudisha.
the truth is we have never done it...wewe ni mwanaume mwenzangu so wewe ni ndugu yangu kama unayosema ni kweli huna haja ya kusubiri hadi ufumanie au ukute mume mwenzio anaweka mashine knye shimo yako! Kimbia sana pitia angaza chek kama upo ok mshukuru mungu sana huyo anataka akutumie peke yake ila yeye atumiwe na wengi ndugu yangu usipoteze muda kimbia kimbia tafuta wako huyo hakufai
Me tooafter checking posts zote , am confused.....
umenikumbusha kuna mdada alienda kwa mpnz wake kufika akazima simu, baada ya muda akawa anatafuta simu ya mwenzie achunguze chunguze akakuta na yenyewe imezimwa. Ngoma droo hiyo.weka yakwako "Security Code to"halafu hapo ngoma dro...