Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Hakufai huyo, hakuna kitu kinachovunja ndoa siku hizi kama simu, maana inafikia mtu kila anapoenda (Chooni, bafuni ,nk) yupo na simu mkononi na akihisahahu tu mwenzie keshaidaka fast na kuanza kuipekuwa
Kwa mapenzi ya kweli na ya dhati amabyo hayana cheating hakuna haja ya kuzuia simu yako kwa mwenzio, unapoizuia tu mtu anakuja na maswali mengi mno, kuzuia simu ni kukosa uaminifu kwa mwenzio
kiukweli mnatakiwa muwe free kiasi hata simu ikilia na mwenenayo hayupo basi unaweza kupokea na kujibu hiyo simu na hata msg unaweza kuzijibu,
Kwa mapenzi ya kweli na ya dhati amabyo hayana cheating hakuna haja ya kuzuia simu yako kwa mwenzio, unapoizuia tu mtu anakuja na maswali mengi mno, kuzuia simu ni kukosa uaminifu kwa mwenzio
kiukweli mnatakiwa muwe free kiasi hata simu ikilia na mwenenayo hayupo basi unaweza kupokea na kujibu hiyo simu na hata msg unaweza kuzijibu,