Hasa hapo.you always have brain Kongosho. nashindwa kuelewa kabisa hadi upewe kwa masharti inamaana kuna mahali unaharibu wewe mwenyewe, pengine unarudi usiku, umelewa na mkeo hanywi, ukirud kashfa tu, kubembeleza hakuna, wala humjali ukija wataka uingie tu kama chooni na ukimaliza utoke. hata ingekuwa miye sikupi miaka.
kwanza nijibu huwa wewe staili yako ya kuombea ni ipi?
huwa unarudi home saa ngapi na ukiwaje?
je maisha ya mkeo nani anayeyasimamia?
unatimiza wajibu katika kumtunza mkeo?
weye siyo mtu wa hila ama ghubu?
ukishajibu haya nitakupa mbinu
Hataki nimguse, eti anaangalia mpira sijui UEFA sijui Premium!
Hahahah Kaunga bwana kwani akiwa anaangalia UEFA sijui EUROCUP kwani zana zinakuwa ndani ya TV? We endelea tu uone kama ataweza kuresisti!
Na akibania mwambia .Am not playing with your eyes we endelea kuangalia TV amah!
Hahahah Kaunga bwana kwani akiwa anaangalia UEFA sijui EUROCUP kwani zana zinakuwa ndani ya TV? We endelea tu uone kama ataweza kuresisti!
Na akibania mwambia ...............Am not playing with your eyes we endelea kuangalia TV amah!
Hapo ndipo utamu unapokolea BAK; LOL
Unajua ushauri wa MJ1 na King'asti hapo juu unahusu sana, anatakiwa awe mbunifu kiasi kwamba mama aone tamthilia ni nini mbele ya mahunjumati ya dadii; he must be so boring that mdada anaprefer tamthilia than intimacy na mumewe!
@Kaunga niliwahi kusoma mahali kuhusu tatizo hili ambapo wadada wengine huamua kuanzisha na wao show yao bab kubwa wakati mechi ikiendelea na mara nyingi hudai show yao hupata waangalizi wengi
Kisha ndo itakuwaje?
Hataki nimguse, eti anaangalia mpira sijui UEFA sijui Premium!
Sijui inasaidia au inadraw couple apart zaidi? Ila ingefaa sana kama interest zingematch, lkn kwa kuwa ni ngumu ni bora kucompromise na kushiriki pamoja hobbie zao zote!
Sasa umeamua kunisema?