Hataki kuolewa na mimi msaada tafadhari

kosa ulilofanya ni kumwambia unataka kumuoa,hvy vitu vinakuja vyenyewe,yeye mwenyewe usema kama ashakupa sana penz,atatamani ndoa,
 
Habari wakuu ni hivi nina demu wangu wa kitambo kidogo na mimi ndio nilimtoaga usichana sasa alihama mitaa yetu kuna mahali anaishi,sasa kipindi hiki nimempa ofa ya ndoa amegoma kuishi na mimi na nazani hata tabia zake ni za ajabu kwan avai nguo za stara mimi nilitaka nimbadilishe but anaonesha kureact msaada wakuu nifanyaje na mimi naitaji kuoa.
nenda kona bar utawaona wakuwaoa wengi tu
 
Bia ofa...sawa ndoa ofa si sawa muhudumu niongeze ofa hii inatoka kwa mtoa ofa za bia mpaka ndoa
 
NDOA HAILAZIMISHWI. TAFUTA MWINGINE. HUENDA ULIMTILOA BIKIRA AKIWA HAJAJITAMBUA NA SASA HAONI KAMA WEWE NDIYO SASA KWAKE. HUWEZI LAZIMISHA. HUENDA KESHAPATA MWINGINE AMBAYE AMEKULINGANISHA NAYE.NA SASA HAKUTAKI. ILA MAISHA INABIDI YASONGE MBELE.
 
Kwa kauli zako hata Mie ningekataa,eti nimempa ofa..we hata maana ya ndoa hujui na huyo mwanamke amekushtukia kua wewe Ni jipu
 
Habari wakuu ni hivi nina demu wangu wa kitambo kidogo na mimi ndio nilimtoaga usichana sasa alihama mitaa yetu kuna mahali anaishi,sasa kipindi hiki nimempa ofa ya ndoa amegoma kuishi na mimi na nazani hata tabia zake ni za ajabu kwan avai nguo za stara mimi nilitaka nimbadilishe but anaonesha kureact msaada wakuu nifanyaje na mimi naitaji kuoa.

Hivi umetafakari haya uliyoyaandika??
Umempa offer ya ndoa!!!
Hahahaah duh hii hatari sana au unajua ndoa ni kulalana pekee? Japo pia sijaoa lakini siwezi kuwa na mawazo fukara kama haya
 
Hiv wanawake wote hao waliojaa hujaona mpaka unamlazimisha mtu akubali kuolewa na ww seriously!!!
 
Usimlazimishe punda kubeba contena, kumbuka majuto ni mjukuu .... Na kila likuepukalo ni kheri...
Tafakari, chukua hatua
 
pole kaka yangu ndoa sio ofa kama inavyotolewa bia kwa mtu...inaonekana hujui maana ya ndoa ..wew halafu nawasiwasi na wew huenda ni kivulana..hivi wale form six bado hwajaenda chuo eeh
 
Habari wakuu,

Ni hivi nina msichana wangu wa kitambo kidogo na mimi ndio nilimtoaga usichana sasa alihama mitaa yetu kuna mahali anaishi.

Sasa kipindi hiki nimempa ofa ya ndoa amegoma kuishi na mimi na nadhani hata tabia zake ni za ajabu kwani avai nguo za stara mimi nilitaka nimbadilishe but anaonesha kureact.

Msaada wakuu nifanyaje na mimi nahitaji kuoa.

Hata mi ngekataa,sbb ndoa sio OFA ni mpango kamili wa Mungu!

Ofa wanapewa watu bar huko nk
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom