Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,262
Aiseee...samahani sana kwa kutumia neno umbea!!hapo kwenye umbea nadhani umenikosea heshima. Hii kitu imeulizwa na bosi & top management, inashangaza.
Anyways nimekuelewa
Nwy hayawahusu...hata kama rais ndo angekua ameuliza maana anachojiita haihusiani na kazi hata chembe!Hiyo ni biashara yake na mumewe...nyie wengine bakini kua waangaliaji tu!