Hata wazee wa CCM wameona udhaifu wa mkulu

Chumvi1

Senior Member
Oct 10, 2010
137
8
Nimetoka kwa mzee wangu kumsalimia maeneo ya Tandika na ni mwaccm damu. Nikamuuliza vipi mwendo wa nchi kwa sasa. Akasema Duh huyu kijana naona nchi ishamshinda tayari hali ni mbaya ya kimaisha watu hawana pa kupuimulia na huyu akifanya mchezo serikali hii na chama chake vitamfia mkononi iwe historia bure hapa na anaongezea kwa kusema kwamba chadema nao wakienda vizuri wanaitumia hii nafasi ya maisha magumu itaamsha hisia za watu itakuwa balaa hapa" mwiho wa kumnukuu.
Nikajiuliza kumbe hata makada wa ccm wenyewe wanaliona hilo na hawa wanaopiga kelele za ccm humu ndani wanampigia nani nao hawalioni au umebaki ushabiki tu wa chama.
My Take: Nchi ishaoza hii mkubali au mkatae msilete ushabiki wa vyama humu ndani wakati hali halisi inajionyesha klwamba mkwere nchi ishamshinda kila mwananchi ana hasira na kiongozi wa nchi nini kitafuata? je wafanyakazi watakuwa wafanisi kweli serikalini? uzalendo utakuwepo nchi hii? Hatua zichukuliwe mkwere atubakishie nchi yetu tumechoka. Na wana ccm wa humu ndani muache ushabiki wa kipumbavu.
 
tatizo la huyu sharobalo hata hajishtukiii kua anatupoteza....................hebu nipishe wenyewe wanakuja sio mda
 
tatizo la huyu sharobalo hata hajishtukiii kua anatupoteza....................hebu nipishe wenyewe wanakuja sio mda

Walomzunguka wakina makamba na tambwe hiza... ni walaji though wanajua ukweli lakini hawataki kukubali na kumwambia mkubwa wao... ila ashaanza kutumiwa salamu kutoka mwanza na musoma kuwa watu washachoka na ajiandae kurudi bagamoyo kuvua samaki :hand:
 
Walomzunguka wakina makamba na tambwe hiza... ni walaji though wanajua ukweli lakini hawataki kukubali na kumwambia mkubwa wao... ila ashaanza kutumiwa salamu kutoka mwanza na musoma kuwa watu washachoka na ajiandae kurudi bagamoyo kuvua samaki :hand:

Mmmh..umemtaja TAMBWE HIZZA, umenikumbusha, yaan huwa namfikiria jamaa kama 'ana vi-akili flani hivi', ila nashangaa tu mpaka leo jamaa kashindwa kurejea upinzani na 'kuomba yaishe' halafu arejeshe kaheshima, au hata kutoka tu na kusema mi siasa basi kwa muda..au ndo njaa tu hizi..?sioti lakini..!
 
Ni hasira tupu. Naogopa ban . Magereza si uraiani ningemtukana , punch la nguvu
 
Nguvu ya umma mara nyingi huwa haina mfano......NAAMINI SIKU MOJA WANANCHI WATAAMKA TU....Hii miaka minne mbona mingi sana....NAAMIN HATA MIAKA MIWILI HAITAFIKA, UTAONA MAMBO...
Ugumu wa maisha unazidi kushamiri kila siku. Kule mitaa ya kwenda sugar imeshafika 2200 per kg...hivi unafikiri kuna usalama wa JEYKEY kubaki madarakani hapo?????? SIJUI?????
 
Nimetoka kwa mzee wangu kumsalimia maeneo ya Tandika na ni mwaccm damu. Nikamuuliza vipi mwendo wa nchi kwa sasa. Akasema Duh huyu kijana naona nchi ishamshinda tayari hali ni mbaya ya kimaisha watu hawana pa kupuimulia na huyu akifanya mchezo serikali hii na chama chake vitamfia mkononi iwe historia bure hapa na anaongezea kwa kusema kwamba chadema nao wakienda vizuri wanaitumia hii nafasi ya maisha magumu itaamsha hisia za watu itakuwa balaa hapa" mwiho wa kumnukuu.
Nikajiuliza kumbe hata makada wa ccm wenyewe wanaliona hilo na hawa wanaopiga kelele za ccm humu ndani wanampigia nani nao hawalioni au umebaki ushabiki tu wa chama.
My Take: Nchi ishaoza hii mkubali au mkatae msilete ushabiki wa vyama humu ndani wakati hali halisi inajionyesha klwamba mkwere nchi ishamshinda kila mwananchi ana hasira na kiongozi wa nchi nini kitafuata? je wafanyakazi watakuwa wafanisi kweli serikalini? uzalendo utakuwepo nchi hii? Hatua zichukuliwe mkwere atubakishie nchi yetu tumechoka. Na wana ccm wa humu ndani muache ushabiki wa kipumbavu.

Mkuu, swali dogo tu la ufahamu,, hivi huyo mzeee/kada wako angekujibu tofauti kwamba ana imani kubwa na JK,, pia ungetuletea hapa? Ungekuwa radhi kutuambia kwamba kumbe hata wazee na makada wanamuheshimu JK na wana imani naye?? Fikiria halafu ukipata jibu,,. tujulishe.. Amani itawale
 
tatizo la huyu sharobalo hata hajishtukiii kua anatupoteza....................hebu nipishe wenyewe wanakuja sio mda

Samahani kuuliza siyo ujinga. Hivi nini hasa maana ya hili neno "SHAROBALO" wengine nasikia wakisema "SHAROBARO". Je hili ni neno rasmi la kiswahili au ni la mitaani?
 
"Sharobaro" ni mtu mjanjamjanja wa mjini, anapenda starehe lakini kazi hafanyi, anaigiza masiha ya magharibi hasa marekani, kwa kifupi ni neno lililo ondoa neno "bishoo", sharobaro ni "tozi", yaani kweli mkwre ni sharobaro
 
....its obvious! kuna shida moja ambayo ninaiona! Kuna watu wako CCM na wanasupport chama hata kikifanya mambo ambayo hayana msingi na maslahi kwa umma! Hiyo sio siasa safi na itamaliza Tanzania taratibu ila kwa uhakika! Kama kweli wanadai kuwa ni wazalendo,,,,waikosoe serikali kwa nguvu zilezile ambazo wanazitumia kuisupport serikali ya CCM pindi inapofanya mambo ya kunufaisha jamii! Kama ni kiongozi hata yule aliyeteuliwa na rais,,,,amkosoe rais kwa nguvu zilezile ambazo anazitumia kumsupport!
Hii ndio siasa itakayoleta tija kwa watanzania na sio unafiki unaoendelea katika vyama,,,chama cha mapinduzi kikiwa ndo chenye unafiki wa hali ya juu!!!
 
Back
Top Bottom