Ndugu zangu hata mzee vijijini wanaelewa hali halisi na wamebadilika kutaka kuona mabadiliko katika nchi hii.Nina babu yangu mzee wa miaka 90 sasa ambaye ameona tawala zilizopita toka enzi za mkoloni na mzee huyu alikuwa ccm damudamu na usingeweza kumweleza kitu chochote kuhusu CCM.Lakini sasa amepima,kuchambua,kuchuja na kuona hali ya maisha ilivyo hasa katika kipindi hiki cha miaka mitano iliyopita anasikitika sana,amebadilika na kuwa miongoni mwa waleta mabadiliko katika nchii kabla hajafa kwa kumpigia DR.SLAA.