Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
kadadeki ebu ngoja upate ajali alafu uparalyse alafu uwe hujaoa au hujaolewa uone matusi utkayoporomoshewa na ndugu zako
oh mie sioi sasa ona unvyotapatapa...nani aje ashike mavi yako hapa.
tusidanganyane kuoa ni muhimu upende usipende. wale ambao wataki kuoa basi wafanya moja kati ya haya
1) hakikisha unapesa za kutosha kiasi cha kwamba ukizeeka wewe unaenda old mans home
2) kuwa na bunduki yako pembeni kabisa na uwe na mentality ya kwamba kama likitokea lolote najipiga risasa. hujafa hujaumbika kaka lolote laweza tokea na wakaribu yako ni mke/mume ndugu watakuja leo na kesho ....binadamu achelewi kuchoka!!! na juu ya hapo watakumwagia matusi.
Khaaaaaaa.........................