Hata ufanyeje!!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,139
[h=3]Hata Ufanyeje![/h]

Katika asilimia 100 ya wanaume wanaotoka nje ya ndoa zao, asilimia 12 ya hao wanaume wanao cheat hufanya hivyo kwa sababu ni cheaters, wao hutoka nje ya ndoa zao No matter what! (Source)
Hata kama wanaridhishwa na wake zao zaidi ya kawaida bado akikutana na mwanamke mwingine bila kujali ana sura inayofanana na chimpanzee kwake ni mistress na atafanya kila analoweza ili kutembea naye (sex).
Ndoa iridhishe isiridhishe wao hutoka.
Wao hutoka nje ya ndoa zao kwa sababu ni cheaters tangu mwanzo.
Kama ni mwanamke utafanya kila ambacho mwanaume duniani anatakiwa kufanyiwa na bado atatoka; hawa ni vilema, hawana hisia, hawaijui kuumiza mke ni kitu gani, hawana adabu, hawana heshima, wameshindika.
Hawajali utu wao, vyeo vyao, umuhimu wao katika familia na jamii, wanatoka nje.
Je, tusemeje kwa ile asilimia 88 ya wanaotoka nje?
Hapa kuna kitu cha kujifunza, nacho ni kwamba kuna matumaini makubwa kwa wanawake wengi kwamba efforts wanazofanya katika kuhakikisha ndoa zao zinakuwa na afya ni jambo zuri na la msingi sana kwani hawa wa asilimia 88 huwa na sababu kamili inayowafanya kutoka nje ya ndoa zao. Hivyo mwanamke anayejituma kuhakikisha anatengeneza mazingira mazuri kwa mume wake kuridhika nyumbani husaidia kumlinda ndoa.
Mwanamke mwenye busara huwekeza efforts nyingi katika:
A. Kumfanya mwanaume ajisikie si mpweke katika ndoa yake.
B. Kumpa heshima (appreciation & respect) katika mahitaji yake kimwili na kiroho.
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&
 
Back
Top Bottom