Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Hicho tu ndio muhimu
Mwambie akununulie biblia.
Mwambie akununulie biblia.
'Hi sweety whats up!!!!!!! wanted to buy you somethin but was afraid if ya wud like it???????...what should i buy you??.............message ndio imesema hivyo,..............nimeshindwa kujua nataka aninunulie nini?.................wadada ni nini mngependa mkaka akununulie.....???wakaka nitawauliza next time!:brick:ainkiller:
ndio kinini hiki lol?
sina ubaguzi Eng.....nimesema nitawauliza next time,...btw...huwa unamnunuliaga nini mywife wako?
...mwenzio bado kidogo nitaje kiwanja!!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
we mchaga?
...mwenzio bado kidogo nitaje kiwanja!!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
we mchaga?
More likely than not LOL
Thanks......ningependa zawadi ninayotaja imu-exite na yeye kununua....i mean i sound kimahaba pia,ila ndio nimekosa nimeshindwa kujua nimwambie aninulie nini?............nisaidie plzzzzzz:embarrassed:
Duh..........we mpalestina nini?Kama nini dear?? ...mwenzio bado kidogo nitaje kiwanja!!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Duh..........we mpalestina nini?
What I believe ni kuwa mtu haulizwi zawadi.............am sure kama ni mtu wako wa karibu atakuwa anajua taste zako so ata-du the needful
acha mbwembwe masaki, kuwa sweety haina maana ni mkeo. Mbona unakimbilia kuchakachua?? Angalia usije chakachuliwa.
Lol bazoka??niletee jojo
Pole Masaki........Happy New Year.Hahahahahaha! Dah! JF watu mna maneno sijapata kuona!