Hata sijui nimjibuje.....................?

'Hi sweety whats up!!!!!!! wanted to buy you somethin but was afraid if ya wud like it???????...what should i buy you??.............message ndio imesema hivyo,..............nimeshindwa kujua nataka aninunulie nini?.................wadada ni nini mngependa mkaka akununulie.....???wakaka nitawauliza next time!:brick::painkiller:

Inaitwa navuta pumzi attention seeker.
 
sina ubaguzi Eng.....nimesema nitawauliza next time,...btw...huwa unamnunuliaga nini mywife wako?


Hivi Pauline, pauline ni nani hasa? I curious....:A S-alert1:

Sasa maadam ni wadada nasubiri itakapokuja ya siye wakaka
 
..Labda utueleze mtu mwenyewe ni wa karne gani, maana wengine ukisema pafyumu atakuletea yolanda, ukisema losheni atakuletea ashanti, na ukisema kyupi ataleta zile za Michael Jordan....lol

....Kama kuna mambo ya malavidavi na unasema ungependa ya yy ainjoy zawadi, basi boksi la amarula safi maana yu wil pei him leta....
 
mwambie perfume arufu aipendayo yeye, huu uwe mwanzo mweke yeye mbele baadae jiweke unavyotaka wewe
 
Thanks......ningependa zawadi ninayotaja imu-exite na yeye kununua....i mean i sound kimahaba pia,ila ndio nimekosa nimeshindwa kujua nimwambie aninulie nini?............nisaidie plzzzzzz:embarrassed:

me nadhani kipembe kyupi ndo mzux sana.....
 
Kama nini dear?? ...mwenzio bado kidogo nitaje kiwanja!!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy:

Duh..........we mpalestina nini?

What I believe ni kuwa mtu haulizwi zawadi.............am sure kama ni mtu wako wa karibu atakuwa anajua taste zako so ata-du the needful
 
Duh..........we mpalestina nini?

What I believe ni kuwa mtu haulizwi zawadi.............am sure kama ni mtu wako wa karibu atakuwa anajua taste zako so ata-du the needful

Hahahahahaha! Dah! JF watu mna maneno sijapata kuona!
 
acha mbwembwe masaki, kuwa sweety haina maana ni mkeo. Mbona unakimbilia kuchakachua?? Angalia usije chakachuliwa.

Utamwitaje sweet mtu asiye mpenzi wako? Au ndio nyie huwa mnatuma meseji kwa watu bila hata kujua madhara yake matokeo yake mnavuruga mahusiano ya watu!
 
Back
Top Bottom