Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
unapigiwa simu na mtu anakwambia amekuta miscall ya namba yako, au mwingine anakuuliza mbona unambeep, na kiukweli wewe hujapiga hiyo namba na wala huijui, na ukiangalia kwenye dialled namba zako haipo, sasa ukute mtu si mstaarabu anakupigia kukuuliza halafu na wewe uanze kushangaa shangaa, mbona utajibeba, hebu nisaidieni wataalam, hii husababishwa na nini?