MPANDA Jr
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,295
- 157
Leo hii Watanzania wenzangu wengi bado hawajui kuwa nyakati za Ukoloni "Babu zetu" walikerwa sana na matendo mabaya yaliyotendwa na Wakoloni. Kwa zaidi ya miongo 7 yaani miaka sabini ya utawala wa kikoloni katika Tanganyika na Tanzania babu zetu walipitia vipindi mbalimbali vya kudai ukombozi, moja kati ya hivyo ni kupigana ama kupambana na wakoloni kwa Silaha: Mfano ni akina Mkwawa, Mirambo, Isike Mangi Sina, Kinjekitile, Bushiri na wengine, leo hii vita vya majimaji vimekuwa Historia isiyoakisi uhalisia wa kwanini wao walipambana
Kumbe vicheko vyetu juu ya "Babu zetu" kwamba walikuwa wajinga hata wakakubali kutawaliwa ni sawa na kumcheka mtu kipofu aliyekanyaga dimbwi la maji machafu ilihali wewe mwenye macho mazimaa ukidumbukia katika karo la choo. Nayasema haya kwa sababu kigezo kikubwa kwa "Babu zetu" tunaambiwa "Hawakuwa na Elimu" ndio maana walikubali
Sasa point ta msingi hapa ni hii: Aliyetuvusha katika mchakato wa kupata "UHURU" ni TANU kwa njia ya "KURA TATU" ambayo J.K.Nyerere kwa kuhamasisha Watanganyika kujitambua alifanikiwa kuwashinda "Wazungu" na akawa Waziri mkuu mwaka 1961. Hii ni njia BoRa ya kupata ukombozi ambayo wenzetu wa Zanzibar walishindwa kuitumia bali walifanya mapinduzi. Kama ilivyokuwa kwa TANU katika kuleta UHURU ni maoni yangu kuwa ni KAZI YA CHADEMA kuleta UKOMBOZI kwa njia ileile ya TANU....
Itaendelea......................
Asante kwa Kunisikiliza
Kumbe vicheko vyetu juu ya "Babu zetu" kwamba walikuwa wajinga hata wakakubali kutawaliwa ni sawa na kumcheka mtu kipofu aliyekanyaga dimbwi la maji machafu ilihali wewe mwenye macho mazimaa ukidumbukia katika karo la choo. Nayasema haya kwa sababu kigezo kikubwa kwa "Babu zetu" tunaambiwa "Hawakuwa na Elimu" ndio maana walikubali
- Kulipwa Ujira mdogo 9sio mshahara)
- kutozwa kodi kubwa
- Kuwekwa makambini viwandani
- Kufanyishwa kazi ngumu na kwa muda mrefu
- Kunyimwa elimu
- Rasilimali zao kama Arhi, Madini, Misitu nk ziliporwa na wakoloni
- Utawala ulikuwa wa kigeni
- Unyanyasaji wa raia na mengineyo
Sasa point ta msingi hapa ni hii: Aliyetuvusha katika mchakato wa kupata "UHURU" ni TANU kwa njia ya "KURA TATU" ambayo J.K.Nyerere kwa kuhamasisha Watanganyika kujitambua alifanikiwa kuwashinda "Wazungu" na akawa Waziri mkuu mwaka 1961. Hii ni njia BoRa ya kupata ukombozi ambayo wenzetu wa Zanzibar walishindwa kuitumia bali walifanya mapinduzi. Kama ilivyokuwa kwa TANU katika kuleta UHURU ni maoni yangu kuwa ni KAZI YA CHADEMA kuleta UKOMBOZI kwa njia ileile ya TANU....
Itaendelea......................
Asante kwa Kunisikiliza