Hata nikifa leo nimeishafika Nairobi

ulikua Nairobery mitaa ipi?
Westlands, Umoja, Eastleigh, Loisambu kule karibu na Kasarani, uzunguni Hurlingham au Gikombaa, Kibira au mitaa gani?
Hata hivyo Nairobery kuzuri lol...

huyo atakuwa kafika Kawangware teh teh!!!!!!
 
Cacico huu mji ni mzuri sana!
kwa raha zako! jifurahie mwaya, mie mwenyewe nilifurahia sana siku nilipompeleka mtu uvinza! maana mie nimezaliwa huko, ila kuna mkaka alikuwa hajawahi fika, nikampeleka. ali-enjoy sana na kufurahia sana mandhari ya uvinza!
 
Sijui lini Dar itafikia huko

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ha ha ha....ungesema kabla haujaenda huko ningekuelekeza kwa wenyeji ili wakuoneshe viwanja vya ukwelli, hayo ndiyo maeneo yetu ya kujidai japo ni miezi mingi sijakanyaga.
 
Nilipataga maid mrombo, kila siku was.nairobi this nairobi that. Nikamuuliza mdada alieniletea wa huko kwao. Kumbe alitekwaga akapelekwa nairobi akakaa 3 months. Nikaanza kumuhoji ulikuwa unakaa wapi? Akaniambia kayole. Nilicheka sana, manake ni mahali pa chini nadhani ikitoka kibera ndo kunafuatia.
Huyu anataka kutuchekesha tu na kutufanyia siku yetu kuwa nzuri asante sana Mchuzi wa bata
 
Last edited by a moderator:
Kwa mara ya kwanza jana nimerudi kutoka Nairobi Kenya, nilikuwa sijawahi kusafiri nilikuwa napasikia tu kuzuri sana kuna maghorofa mengi sijui Shinyanga yetu itaifikia lini Nairobi, hata nikifa leo nimeishafika Nairobi.

Ulifika Nakumatt pia?
 
Nilipataga maid mrombo, kila siku was.nairobi this nairobi that. Nikamuuliza mdada alieniletea wa huko kwao. Kumbe alitekwaga akapelekwa nairobi akakaa 3 months. Nikaanza kumuhoji ulikuwa unakaa wapi? Akaniambia kayole. Nilicheka sana, manake ni mahali pa chini nadhani ikitoka kibera ndo kunafuatia.

Ha ha ha Kayole hata manzese ni nafuu sana Kayole, Kangemi, Kibera, Kawangware etc hizo ni sehemu za nyumba za udongo na mabati
 
Back
Top Bottom