Kuongea na wananchi kwa JK kulikuwa na ulazima gani wa kuwepo kwa RO, Mwamunyange na Said Mwema na (Malisa na Tosi walikuwepo) ? What was the message ukiangalia ile hotuba kwa undani ?
Msaada wenu tafadhali
mkuu umenikumbusha, kimsingi ccm inabidi waondoe hiyo alama ya nyundo ya wafanyakazi, watafute alama nyingine ya mafisadi waiweke hapo, kwani m/kiti wao kaisha sema wafanyakazi kura zenu hazimtishi na hana shida nazo! Sasa alama yao ya nini? Weka ya mafisadi ambao kimsingi ndio chama kina walinda kwa nguvu zote.
Jamani tumpongeze Rais, kwa mara ya kwanza kaamua kutotoa ahadi - au mlitaka awaahidi tena?
Kikwete ameshauriwa vibaya, ana washauri wa...