Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 733 Aug 10, 2010 #1 Tanganyika Law Societyu mpo yaani hata kucopy calendar inakuwa issue? Kalenda halisi ya July yatakiwa kuwa na tarehe kama ifuatavyo,
Tanganyika Law Societyu mpo yaani hata kucopy calendar inakuwa issue? Kalenda halisi ya July yatakiwa kuwa na tarehe kama ifuatavyo,
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Aug 10, 2010 #2 imekuwaje mkuu...mbona nashindwa kung'amua tatizo
Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 733 Aug 10, 2010 Thread starter #3 Preta said: imekuwaje mkuu...mbona nashindwa kung'amua tatizo Click to expand... Iangalie Kalenda yao kwenye hichi kipererushi cha TLS then compare na Kalenda halisi ya mwezi jana yaana July 2010, je tarehe ziko sahihi?? Kalenda halisi ya JULY 2010 hii hapa dadangu Preta,
Preta said: imekuwaje mkuu...mbona nashindwa kung'amua tatizo Click to expand... Iangalie Kalenda yao kwenye hichi kipererushi cha TLS then compare na Kalenda halisi ya mwezi jana yaana July 2010, je tarehe ziko sahihi?? Kalenda halisi ya JULY 2010 hii hapa dadangu Preta,
Sinkala JF-Expert Member Dec 22, 2008 1,773 683 Aug 10, 2010 #4 Labda ni Mayan calendar inayoishia 2012 !
Ambassador JF-Expert Member Jun 2, 2008 933 75 Aug 10, 2010 #5 Printer ndo kawaingiza mjini. Si rahisi mtu kung'amua ghafla kuwa imekosewa baada ya kupokea copi walizoorder.
Printer ndo kawaingiza mjini. Si rahisi mtu kung'amua ghafla kuwa imekosewa baada ya kupokea copi walizoorder.