Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupeni yalisemwa basiHa ha ha ha ha tubeless lol
Soudy onair
Sikusikiliza mamaTupeni yalisemwa basi
Ila kuna ukweli, jamaa alifubaa akawa anapost matangazo tu sijui yalikuwa hayalipi mbona nasikia tangazo moja elf 40
#INASEMEKANAETI muvi mpya ipo mbioni kutoka, kaeni mkao wa kula kwani itateka na kukonga nyoyo za wapenzi wa bongo movies...Soudy brown kwenye instagram yake kapost picha ya wema kaandika "pole dada wema sepetu, mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu akupe moyo wa uvumilivu pia ili utoke hospitali ukiwa salama, inshallah kazi yake Mola haina makosa"
Kisha akaweka na hashtag #INASEMEKANAETI
Bongo movie ilizikwa na kanumba#INASEMEKANAETI muvi mpya ipo mbioni kutoka, kaeni mkao wa kula kwani itateka na kukonga nyoyo za wapenzi wa bongo movies...
Mimba ya wema ni gumzo kuliko hata marudio ya uchaguz zanzibarHii mimba imeshakuwa kero kwenye mitandao, ukifungua huku mimba ya Wema, ukienda home mimba ya Wema, ofisini wadada mimba ya Wema.
Wengine anayo wengine hana, automatically unajikuta umeguswa aisee.