hata Dr Kadeghe wa UDSM jamani?

Vakwavwe

JF-Expert Member
May 16, 2009
503
100
[h=3]
S1475 PERFECT VISION SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 2 DIV-IV = 39 FLD = 97 [/h]
imenisikitisha sana kuona hata wasomi tunaowategemea nao wanaanzisha shule na kutoza miada mikubwa mikubwa halafu hawalipi walimu vizuri na au wanatafuta walimu wasio na sifa na matokeo ndo haya...!!!!! hebu imagine watoto 97 wamekuwa wakilipiwa ada za zaidi ya millioni halafu wanapata zero. Na Kadeghe anahusika moja kwa moja kwa kuwa anakuwepo muda mwingi hapo shuleni na bado matokeo ndo haya. ...na alichoniboa zaidi ni kwamba alipozikusanya za kutosha mwaka jana akaenda kwao SAME kugombea ubunge kupitia magamba,wakachakachuana huko na akaukosa akarudi kukamua wanafunzi kama kawa na matokeo ndo haya.
ni afadhali za kata watu wanalipa 20,000 lakini hizi IMPERFECT na ST Mariaz miyeyusho kweli..taifa limekabidhiwa kwa ngedere tuombe Mungu tufike salama.
 
**valid code**
wizi mtupu. Yani ye anajali anaingiza nini na sio anatoa nini?

Ni msom huyo.
 
Mdogo wangu alikamua pale yaani basi tuu kwa kuwa nilikuwa nje kikazi ila sio shule ile ni ubrothermen na usistado.
Naona kuna haja ya wizara kuweka standards za ufaulu kwa shule.
As the way I see kuna shule zastaili kufutwa tuu!Huwezi kuwa na nusu ya shule wamefeli kama uu mstaarabu rudisha ata nusu ya ada ule mtaji wa kuanzia maisha wale walioferi
 
wapenda pesa hawa na wala hayupo katika kusaidia wananchi..si unaona anavyoutolea denda ubunge
 
Serikali inatakiwa kusimamia hizi private school otherwise watanzania wataendelea kutapeliwa na haya majizi,wanapandisha ADA kila mwaka wakati performances zao zinashuka mwaka hadi mwaka,is high time now upelekwe muswaada kama ule wa January Makamba(makazi na upangaji) ili kudhibiti huu wizi na utapeli wa private schools.
 
Tatizo kubwa ni wizara. wanabadilisha mitaala kila kukicha. Na baraza la mitihani nalo siku hizi wanatunga mitihani utafikiri wanakomoa. Hakuna ubishi kwamba mitihani ya miaka ya 80 & 90 ilikuwa mirahisi ukilinganisha na hii ya sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom