Invisible, the Hassanoo I know used to be a wise guy, and he's smart.
Anafanya biashara ya 'scraps' - metal, plastics ect.
Traed on this information kabla hatujaambiwa JF wambeya.
Behind the Scene: Huyu jamaa kwao ni Magomeni mtaa wa Idrissa, lakini usiku kucha yuko KKoo au kwenye yard zake za vyuma chakavu and alwyas has his silenced pistol on a ready.
sasa jioni leo k - shop kutakuwa na huzuni toka kwa wale friends of simba
mkandara na halisi mna lakusema?
Mie nishashiba maposho s=posho ya iddi sidhani kama wataniona mpaka next week
Mwizi ni mwizi tu hakuna mkubwa wala mdogo kwa kuwa mwizi wa vitu vidogo maadam ana hulka ya wizi hata akipata kitu kikubwa ataiba tu so nirahisi sana kwake ku advance kutoka mwizi mdogo kwenda mkubwam, what I mean here ni kwamba wezi wote washugulikiwe kwa mujibu wa sheria zilizopo bila kuanza kuwaonea huruma wezi kwa kisingizio kuwa huyu ni mwizi mdogo!!Mkuu umeshasema wezi wakubwa kwani hujui sheria za nchi hii zina deal na wezi wadogo tu??...
wakimaliza hapo wacheki na wezi wakubwa zaidi yao
Hongereni jeshi la polisi
Wambandwa, hope unamjua mtu huyu vizuri sana, kwa jinsi ulivyojieza hapo juu kwenye post yako. Kama anafanya kazi usiku kucha, una uhakika hakuna mazabe ndani yake? Kazi za usiku zinajulikana (hasa unapozungumzia silencer pistol), nadhani kazi yake unaijua vema. Lakini pia, yard nyingi za vyuma chakavu zina mambo mengi, wengine walishakutwa na mabomu ambayo waliita chuma chakavu, mataruma, alama za barabarani, vipande vya madaraja n.k, sasa usitetee sana suala la yeye kukutwa na shaba, huenda nayo ni 'Chuma Chakavu' Acha polisi wafanye kazi yao, huenda wakakuta 'chuma chakavu' zaidi ya ujuavyo!Invisible, the Hassanoo I know used to be a wise guy, and he's smart.
Anafanya biashara ya 'scraps' - metal, plastics ect.
Traed on this information kabla hatujaambiwa JF wambeya.
Behind the Scene: Huyu jamaa kwao ni Magomeni mtaa wa Idrissa, lakini usiku kucha yuko KKoo au kwenye yard zake za vyuma chakavu and alwyas has his silenced pistol on a ready.
..Ni Lundenga, uko sahihi kabisa. Kazi ya mamiss inajulikana sana, hasa mida iliyo katika bold hapo juu.du?? huyo pembeni siyo mzee Lundenga? na hawa mamiss?
Now you are talking. Kila siku tunalia kwamba alama za barabarani zinaibwa kwa sababu ya chuma chakavu, kingo za madaraja zinaibwa, nyaya za umeme na mawasiliano zinakatwa, yaani it is a total mess in here! Nashangaa hata hao wanaotetea wauzaji wa chuma chakavu.Chuma chakavu kimeanzia wapi na kuishia wapi? Hakuna kipimo .......... mataruma ya reli, mabaki ya magari ya wizi, mifuniko ya karo na hata hiyo shaba inachanganywa kwenye 'chuma chakavu'.
Hivi mfanya biashara hana hata TIN lakini ni multi millionnaire, na anaishi maisha ya kifahari ukilinganisha na kipato chake. Kama sio wizi au ujambazi ni nini?
mbona kwenye hilo gazeti hajatajwa mkuu? tutaamini vipi?
kaishia wapi huyu naye?
sio karibu woote maana hali ilivyo tumekuwa wezi bila kutarajiaaaah......karibu wote nchi hii ni wezi......
Naona anko lundenga ame supply vimwana wa kutosha ha ha ha ha ha