Shomoro
Senior Member
- Aug 22, 2010
- 111
- 26
We Mse.la nini?kwani kunyukana kati ya vijana na wazee kila mmoja akitaka rais atoke kanda yao.
hii inaashiria vurugu kati ya ccm na tanzania kwa ujumla.
busara ya kuepusha haya ni rais atoke Zanzibar.
We Mse.la nini?kwani kunyukana kati ya vijana na wazee kila mmoja akitaka rais atoke kanda yao.
hii inaashiria vurugu kati ya ccm na tanzania kwa ujumla.
busara ya kuepusha haya ni rais atoke Zanzibar.
Rais atokane na wingi wa watu na siyo sehemu anakotoka!!! Hii kusema kipindi hiki Zanzibar halafu hiki bara, hiyo haipo kikatiba labda katiba mpya iseme hivyo. Lakini mimi siungi mkono kwa minajili tu kuwa ukiwa Mzanzibar unauhakika kuwa lazima utamtawala Mtanganyika lakini katu Mtanganyika hawezi kuwa rais wa Zanzibar. Nadhani iwe ni kidemokrasia zaidi bila kujali mtu atokako lakini tuangalie utendaji kazi na uzalendo wake kwa Taifa la Tanzania na siyo kwa Uzanzibari wake au Utanganyika wake!!!!Tunataka Rais ajae atoke CHADEMA lakini wa kutoka Zanzibar ili kuleta uwiano wa Muungano na kwa kuwa vipindi viwili vilivyopita Marais wametoka Bara itakuwa si haki Rais ajae atatoka bara tena! kama Bara watalazimisha Rais kutoka bara basi heri Muungano ufe!
Hapa CHADEMA watumie busara kumpitisha mgombea wao atoke Zanzibar na hapa watacheza karata vizuri maana hata kura za Waislamu huenda wakazipata kwani watakuwa wamethibitisha kuwa hawana udini na ukabila!!!!
Muungano huu si aina yoyote katika ulizozitaja.Naomba kupata ufahamu jamani. Huu muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar oko vipi? Ni union, federation au confederation? Na una faida gani?
Mh!.. Sidhani!Mimi nipo tayari kuutetea muungano huu hata kama itanigharimu maisha. Nawakilisha....