the earlier the better-wazenji waondoke hata kesho
tanganyika ina rasilimali nyingi sana-tukijipanga tunatoka-kama wanadai wana mafuta-hatuyataki-sijaona faida yoyote ya kuungana na zanzibar-natamani aje kiongoz then avunje huu umoja-nitamshukuru sana
Ndiyo Broo na kule kwetu tuna msemo " kwenye miti hakuna wajenzi". Bahati yote mlionayo bado mnakufa na njaa na mnagombania mali hizo kama mafisi (mafisadi)