...Lakini tujiulize hivi Zanzibar chini ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar haina uwezo wa kuunda majeshi?
Halafu ukishapata jibu naomba pia unijibu AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ZANZIBAR ni nani?
We kweli ni mbumbumbu na bila shaka utakuwa mwanachama wa Chadema.
katika mambo tulioungana Ulizni na Usalama ni moja wapo hivyo Jeshi ni chombo cha Muungano pamoja na Polisi.
Usije hata siku moja ukasema kuwa Jeshi au Polisi ni mali ya Tanganyika.
Lakini hata hivyo Zanzibar ina vikosi vyake vya ulinzi wa ndani kama Valunteer , KMKM.
Suala nakuuliza je Tanganyika mna vikosi vya ulinzi?