MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 349
Habaree wanathinker ninaomba mmusaidie rafiki yangu huyu mana nimeshndwa kumpa ushaur mana cjui nimwambie nini? Ninajamaa yangu yeye ni mfanyabiashara wa kusafiri safir ameoa na anamke na watoto wawili. Mara ya mwisho anasema amepata ajal mkoan arusha ngaramton kwny bodaboda akavunjika kiuno. Na kutokana na biashara yake inamruhusu kukaa nje muda mrefu akaenda kutibiwa akiwa amekaa kwa anko wake huko huko arusha mpaka akapona baada ya miez miwili. Ila hakumwambia mkewe jambo hili. Sasa kivumbi kinakuja amerud na mkewe anataka hak yake ya ndoa na jamaa anamzuga mpk sasa yapata wiki. Je wanathnker msaidien afanyeje mana anaogopa akimwambia mkewe anaweza kumuacha. Wanathnker msaidien analia wakat ananieleza haya