Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Weweeh weeh weh ndio mchizi wangu.......... one love kama kiuno na **** popote unionapo mi ndio mchizi wako
mmmhhh kama kiuno na ....haya kaka.....vipi wifi mmewasiliana???
Weweeh weeh weh ndio mchizi wangu.......... one love kama kiuno na **** popote unionapo mi ndio mchizi wako
mmmhhh kama kiuno na ....haya kaka.....vipi wifi mmewasiliana???
Unajua MUREFU wewe ni mchizi wangu wa ukweli.....na vile wote ni wapenzi wa ARSENAL naomba tu nikuambie mimi hiyo avatar siipendi na ninaigopa inanitisha......japo ina nembo ya ARSENAL......nipe kazi ya kukuchagulia nyingine au unisaidie kubadili.....Pamoja sana wangu!!!!
khaaa..! We mtoto wa kike kilaki2 hutaki haya nichagulie bac 2one ila mbona ipo poa
Unajua MUREFU wewe ni mchizi wangu wa ukweli.....na vile wote ni wapenzi wa ARSENAL naomba tu nikuambie mimi hiyo avatar siipendi na ninaigopa inanitisha......japo ina nembo ya ARSENAL......nipe kazi ya kukuchagulia nyingine au unisaidie kubadili.....Pamoja sana wangu!!!!
Mohammed Shossi we ni noma, itabidi upewe tuzo....umeingia Jan 2011 na tayari unakaribia kufikia post 1,000.
Kipo ninachokitaka wewe hujataka kujua nataka nini tu......unapenda avatar za wanyama au watu??? sema nianze hiyo kazi......:twitch:
Pamoja sana mchizi wangu.
Hebu soma na hapo chini basi.
The Following 6 Users Say Thank You to Mohammed Shossi For This Useful Post:
CPU (Today), Dena Amsi (Today), hashycool (Today), klorokwini (Today), The Finest (Today), VoiceOfReason (Today
Ukienda baa mzee siku hizi muhudumu akikuletea bia anakuja pia na chandarua unaambiwa ni KWA HISANI YA WATU WA TBLBaada ya kumaliza zoezi la kugawa vyandarua kila kaya tukae mkao wa kupokea maboxi ya condom kila kaya teh teh teh hivi hizo chandarua kina TF wazee wa ulabu wamepewa vya kwenda navyo kwenye mabaa? Maana pale Rose Garden kuna mbu balaa.......................
You meant BAN or BURN lolBan me if u want warming is not enough hahaha lol
Kipo ninachokitaka wewe hujataka kujua nataka nini tu......unapenda avatar za wanyama au watu??? sema nianze hiyo kazi......:twitch:
unajua ukiambiwa unachaguliwa inabid ukubal kama mgen ugenini mana ukisema ninapenda ki2 furan kama hakipo utapewa kilichokuwepo wewe weka utakacho kiona unakipenda unasemaje ilimrad kivutie
Nikutumie wapi sasa?? kwa PM au kwa email yako???
itakuwa poa uki2mia email yangu
pampoja sana shossi,thx
Pamoja sana mchizi wangu.
Hebu soma na hapo chini basi.
The Following 6 Users Say Thank You to Mohammed Shossi For This Useful Post:
CPU (Today), Dena Amsi (Today), hashycool (Today), klorokwini (Today), The Finest (Today), VoiceOfReason (Today
pamoja sana shossi,thx