klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
dah! haitowezekana. mabodyguard wangu wako holidei.Nimepata nyumba ya kupanga pale tandale kwa mtogole na nyingine tandale kwa tumbo nilikuwa nataka unisindikize kesho saa 3 asubuhi kuangali
dah! haitowezekana. mabodyguard wangu wako holidei.Nimepata nyumba ya kupanga pale tandale kwa mtogole na nyingine tandale kwa tumbo nilikuwa nataka unisindikize kesho saa 3 asubuhi kuangali
dah senks mchizi, kwa ulivyonipaisha. aisee mbona wewe pia uko juu sana. acha niwashtue machizi waliotajwa kwenye hii sredi tukupigie debe wakupe u mod (only if interested).
Ankal nataka ku- REPORT ABUSE kwa sababu posti yako unataka ikae juu ya ADhii sio sredi ya kufumaniana: you have been warned
Hahahahahahahah lol ntakuachia juu next time lol
Daaah! Mi naona kuna haja ya kumtoa madarakani Robot kwa maandamano tufanye uchaguzi upya tumchague Shossi
Robot kakaa madarakani tangu JF inapata Uhuru
Lazima ang'oke kwa maandamano:msela:
Daaah! Mi naona kuna haja ya kumtoa madarakani Robot kwa maandamano tufanye uchaguzi upya tumchague Shossi
Robot kakaa madarakani tangu JF inapata Uhuru
Lazima ang'oke kwa maandamano:msela:
Ha ha ha usiogope tunaenda kwa garidah! haitowezekana. mabodyguard wangu wako holidei.
Inabidi lakini ujitume maana jana kwenye pitapita zangu kuna mdada nimeona kaweka signature " I love you The Finest" kumkagua nikakuta kajichora picco mikononi na miguuni kaandika makopakopa kibao na jina la shemeji yangu The Finest.
Ma-Comrade
Nilipata udhuru kidogo nikawa nahangaika na dowans sikuonekana hapa kitambo
Samahanini sana
Nimeshanunua Genereta aina ya Rustom Adhidhi sasa mambo safi
sikuwa na nia mbaya , ni kwavile AD anasumbuliwa na kichwa, so klorokwini ikikaa juu , kichwa kwishney.Ankal nataka ku- REPORT ABUSE kwa sababu posti yako unataka ikae juu ya AD
sawasawa mkuu, endelea kukipaka tu. wakikuban nitakuanzishia sredi wakufungulie.
Sante sana dear
Kuna mtu kani pm kuhusu hilo dear..
Nimefurahi kusikia kutoka kwako pia
simfuatiliagi ndo maana yake
yey e alijua penzi langu juu yake
Angalia vizuri labda bahati mbaya nimeiweka without bold my dear.
Originally Posted by mohammed shossi
nyie ndio machizi wanguuuuuuuuuuuuuuuuuu............................ ...................
the one and only nilham rashed, the finest, afrodenzi, hashycool, x-paster, michelle, husninyo, voiceofreason, dena amsi, mpevu, dreamliner, baba mtu, genekai, cpu, mr. President, ivuga, klorokwini, mwera na mzee mwanakijiji.
youtube - nako 2 nako - mchizi wangu remix
Haya jamani wale wa sala sala kijiwe samli bom bom mpaka vituka..........mpo????????
Kwahiyo tutumie neti kujikingasikuwa na nia mbaya , ni kwavile AD anasumbuliwa na kichwa, so klorokwini ikikaa juu , kichwa kwishney.
off post advice: UKIMWI unauwa jamani tupunguzeni PM
Nah ni Rusthum Ardhini isome vizuri mkuu
haya bwana nashukuru kunijumlisha japo baada ya kuedit, manake ile oriino ilikuwa kama hapo chini. peace alwayz dear. happy weekend
sikuwa na nia mbaya , ni kwavile AD anasumbuliwa na kichwa, so klorokwini ikikaa juu , kichwa kwishney.
off post advice: UKIMWI unauwa jamani tupunguzeni PM