Hashim Lundenga ameingia mkataba mpya na Vodacom na kulipwa zaidi ya milioni 200 kama malipo ya kununua shindano la Miss Tanzania liitwe Vodacom kuanzia ngazi za vitongoji hadi Taifa. Hivi sasa kuna mvutano mkubwa kati yake na waandaji wa mashindano hayo ngazi ya kanda na mikoa hasa wale wa kanda za Dar es salaam ambao walikuwa wameingia mkataba na Redds Premium, na kuyaita mashindano yao kuwa ni Redds Miss Kinondoni, Redds Miss Ilala na Redds Miss Temeke kwa miaka mitatu iliyopita.
Lundenga amekunja milioni zote hizo n a bado anakusanya ada ya kuanzia Shilingi laki tano hado Shillingi Milioni moja moja kutoka kwa mawakala wake wote nchi nzima. Halafu hiyo haitoshi anawabana mawakala wake wasivute chochote kutoka Redds Premium!!!!
Huu ni ubinafsi wa kupitiliza na ulafi usio na kifani.
Lundenga amekunja milioni zote hizo n a bado anakusanya ada ya kuanzia Shilingi laki tano hado Shillingi Milioni moja moja kutoka kwa mawakala wake wote nchi nzima. Halafu hiyo haitoshi anawabana mawakala wake wasivute chochote kutoka Redds Premium!!!!
Huu ni ubinafsi wa kupitiliza na ulafi usio na kifani.