Hasheem Thabeet yu mbioni kuondolewa NBA

Remember Tiger Woods? Once the mind is in the panties it stays there.................And concentration is the first casualty ..............can he recover.............no.........unless he receives the boot............and that will be his wake-up call...........
 
Tatizo wabongo hatuna discipline kabisa na kazi ambayo inakupa mkate wa kila siku, Hapa Dogo anatakiwa kwanza aheshimu sana kazi yake, yeye bado ni kijana na anaweza kubadilika so ajitume usiku na mchana hata awe anafanya mazoezi yake mwenyewe ambayo anaona kuwa ana mapungufu nayo wakati wa mchezo.
Dogo akifanya mchezo watamchakachua tu watu hawataki mchezo.

what is wrong with us Tanzanian?do we really have the winning mentality?something is just amiss with us cause we just can't show consistency in success while abroad.Footballers have failed to shine abroad,our runners excel only in a single race then fade.please Hasheem for once show that we can also fight for success in tough competitions.
 
Namtakia kila raheli ili apande asishuke kiwango yale ya akina TID mbona USA watu kibao wanachapana
 
ANGALIZO:

Mayo, Arthur and Thabeet Contracts Guaranteed Through 2011-2012 Season

Updated: Thursday, 28 Oct 2010, 3:04 PM CDT
Published : Thursday, 28 Oct 2010, 3:04 PM CDT
MEMPHIS, Tenn. - The Memphis Grizzlies exercised the fourth-year contract options on guard O.J. Mayo and forward Darrell Arthur and the third-year option on center Hasheem Thabeet, Grizzlies General Manager and Vice President of Basketball Operations Chris Wallace announced today. All three players are now guaranteed through the 2011-12 season.
Mayo, the third overall pick in the 2008 NBA Draft, holds career averages of 17.9 points, 3.8 rebounds and 3.1 assists in 38.0 minutes in 165 games (all starts). The 6-4, 210-pound guard posted 17.5 points, 3.8 rebounds and 3.0 assists in 37.9 minutes last season, and was the only Grizzlies player to start and play in every game.
The 22-year-old, who has yet to miss a game in his NBA career, entered the 2010-11 season with more minutes logged (6,234) than any other NBA player in the last two seasons aside from Philadelphias Andre Iguodala.
Arthur, who missed most of his sophomore season due to right pectoralis surgery, bounced back this preseason to average 11.1 points (4th on the team) and 6.3 rebounds (2nd) in 24.9 minutes in eight games. The 6-9, 235-pound forward, who stepped into the starting lineup last night and scored a career-high 19 points in the Grizzlies regular season opener vs. Atlanta, has posted 5.4 points, 4.2 rebounds and 0.5 assists in 17.9 minutes in 109 games (66 starts) with the Grizzlies, who acquired his draft rights (27th overall) during the 2008 NBA Draft. A key member of the 2008 NCAA Champion Kansas Jayhawks, the 22-year-old recorded 4.5 points and 3.4 rebounds in 14.3 minutes in 32 games last season.
Thabeet, the second overall pick in the 2009 NBA Draft, ranked second among rookies in blocks (1.31) while averaging 3.1 points and 3.6 rebounds in 13.0 minutes in 68 games (13 starts) last season. The 7-3, 267-pound center led all NBA players (min. 60 games) in blocks per 48 minutes (4.84). The 23-year-old, who was named the 2009 Co-Big East Player of the Year (along with current San Antonio Spurs forward DeJuan Blair) in his third and final season at Connecticut, is the first Tanzanian-born player to play in the NBA.
The Grizzlies (0-1) will look to bounce back from last nights opening night defeat, as they travel to Dallas to play the Mavericks at 7:30 p.m. tomorrow night at the American Airlines Center. The game will be televised locally on SportSouth HD.

Nukuu:Mayo, Arthur and Thabeet Contracts Guaranteed Through 2011-2012 Season | My Fox Memphis | Fox 13 News

Hii source yako ni ya zamani ndugu, kwa sasa dogo game imemkataa kabisa na kiwango kinazidi kushuka, ana 1.2 points per game, 1.7 rebounds per game na 0.7 blocks per game which ni kidogo sana ukilinganisha na mshahara wa 4,793,280 US dollars anazolipwa msimu huu. Kapata guarantee ya msimu ujao ambao ni wa mwisho kwake kwa kuwa kama grizlies wasingemguarantee angekuwa ktk position ya kuanza kutafuta timu wkt wao hawajapata return waliyoitarajia toka kwake. Kwa maana hiyo upo uwezekano mkubwa wa yeye kuanchwa baada ya msimu ujao au akauzwa katikati au mwishoni mwa msimu huu akajaribu kwingine. Kumbuka alitaka kuuzwa katikati ya msimu uliopita ktk exchange deal ikashindikana. Na kuna mechi msimu huu alizomewa na mashabiki baada ya kumiss obvious dunk akatoka bila point na timu ikafungwa.
News: Grizzlies coach Lionel Hollins said Thabeet did not play Monday against the Suns because of the opponent's smaller lineup, the Memphis Flyer reports.
Spin: It looks like it's safe to assume Thabeet will re-join the rotation when the Grizzlies take on the Mavs on Wednesday. Unfortunately, Thabeet has not performed well when active thus far (a total of nine points and 15 rebounds through seven games).
 
we jamaa umenichekesha,dogo asipende sana kurudi bongo

Ok, tunajua Grizz sio wazuri kihivyo..lakini hebu angalia stats zake hapa.

Anakimbiakimbia tu na kama kwene article moja hapo juu inavyosema, he is more of a 'fouling machine', na mbaya zaidi team-mates nao wanamuona mzigo na hawampi pasi akiwa kwene D.

Dogo inabidi acheki options zake mapema.. asisubiri kutupiwa virago.
 
Reading the online articles it seems like his only saving grace ni kwamba watu wa Griz wana hope against hope kwamba Hasheem ata turn around. Tatizo la kuanza michezo ya wenzetu ukubwani.

Halafu kuna sehemu jamaa wamebonda mpaka habari zake za off court kupigana pigana na kina TID, kama nilivyokwishasema hapa in the past. Inaharibu, inaonekana si kwamba tu mtu huna uwezo, bali pia huna hata dedication na discipline.
 
Hii source yako ni ya zamani ndugu, kwa sasa dogo game imemkataa kabisa na kiwango kinazidi kushuka, ana 1.2 points per game, 1.7 rebounds per game na 0.7 blocks per game which ni kidogo sana ukilinganisha na mshahara wa 4,793,280 US dollars anazolipwa msimu huu. Kapata guarantee ya msimu ujao ambao ni wa mwisho kwake kwa kuwa kama grizlies wasingemguarantee angekuwa ktk position ya kuanza kutafuta timu wkt wao hawajapata return waliyoitarajia toka kwake. Kwa maana hiyo upo uwezekano mkubwa wa yeye kuanchwa baada ya msimu ujao au akauzwa katikati au mwishoni mwa msimu huu akajaribu kwingine. Kumbuka alitaka kuuzwa katikati ya msimu uliopita ktk exchange deal ikashindikana. Na kuna mechi msimu huu alizomewa na mashabiki baada ya kumiss obvious dunk akatoka bila point na timu ikafungwa.
News: Grizzlies coach Lionel Hollins said Thabeet did not play Monday against the Suns because of the opponent's smaller lineup, the Memphis Flyer reports.
Spin: It looks like it's safe to assume Thabeet will re-join the rotation when the Grizzlies take on the Mavs on Wednesday. Unfortunately, Thabeet has not performed well when active thus far (a total of nine points and 15 rebounds through seven games).
halafu hizo contracts zina a clause kwamba zinaweza kuwa terminated anytime kwahiyo hazitoi security hata kidogo
 
...Wakati wa ,apunziko ya Ligi ya NBA yeye alikuwa hapa Bongo anavinjari na Vogue lake wakati wenzake walikuwa wanajifua ili kurekebisha kasoro zilizo kwenye game lao. Nilihisi kwamba haya yangeweza kutokea.
 
Hasheem anakawaida ya kujisahau sana especially akiwa kwenye offense. Tatizo jingine lipo kwenye Memphis. Memphis siyo timu ya kwenda kuchezea. Yeye mwenyewe alikataa mwanzo kudraftiwa na Memphis, alijuwa anakwenda Oklahoma.

Hawa Memphis wana kawaida ya kumaliza vipaji vya wachezaji. Angalia wakati Paul Gasol, alipokuwa na Memphis na sasa hivi alipo Lakers, utaona tofauti kubwa sana. Wachezaji wengi wanaotoka college kwenda kwenye NBA draft, hawataki kwenda kuchezea Memphis.
Memphis washaanza kulijua hili tatizo. Zipo some articles ambazo zinazungumzia kwa undani hizi issue za college players na Memphis.
 
Reading the online articles it seems like his only saving grace ni kwamba watu wa Griz wana hope against hope kwamba Hasheem ata turn around. Tatizo la kuanza michezo ya wenzetu ukubwani.

Halafu kuna sehemu jamaa wamebonda mpaka habari zake za off court kupigana pigana na kina TID, kama nilivyokwishasema hapa in the past. Inaharibu, inaonekana si kwamba tu mtu huna uwezo, bali pia huna hata dedication na discipline.

Hizo habari za kumbonda TID wameziandika wapi ? Ina maana jamaa wamejua hilo?
 
Au ndugu yangu Hasheem na Ka Unyamwezi kanachangia?

Hasheemm Kaza buti kijana na ukiweza basi tuletee kamradi kokote Tabora utowe ajira.

Kunaweza hata kiwanda cha Asali ambacho kwa sasa hakuna......

All in all, tunakuombea umalize kikwazo chako na uonyeshe kazi.

Sikiliza ushauri wa watu humu. Si kuwa wanakuchukia ila wengi wanakutakia mema.

Si wote walipata bahati kwenda kubeba Box na kupata Box zuri kama lako.
 
Nilikuwa naangalia game ya Memphis na Portland, na nimegundua kwamba tatizo halipo kwa Hasheem peke yake. Kacheza dakika chache, na alikuwa anarebound vizuri kwa muda wote.

Tatizo nilioliona mimi ni bench, benchi ndiyo inayommaliza. Kacheza kwa muda mfupi sana ukilinganisha na vile alivyokuwa anarebound vizuri. Halafu huyu Kocha ni African American, inaonekana HANA respect sana na wachezaji kutoka Africa. Kama ingekuwa kocha mzungu angekuwa anamtendea haki, kama vile alivyokuwa U-Conn.

Namshauri Hasheem ahame hii Memphis, aende Oklahoma, NO, NJN. Sehemu ambazo hamna wachezaji wenye Ego, kama wachezaji wa Memphis, Randolf, Gasol, Rudy Gay.
Good Luck, HT.
 
Nilikuwa naangalia game ya Memphis na Portland, na nimegundua kwamba tatizo halipo kwa Hasheem peke yake. Kacheza dakika chache, na alikuwa anarebound vizuri kwa muda wote.

Tatizo nilioliona mimi ni bench, benchi ndiyo inayommaliza. Kacheza kwa muda mfupi sana ukilinganisha na vile alivyokuwa anarebound vizuri. Halafu huyu Kocha ni African American, inaonekana HANA respect sana na wachezaji kutoka Africa. Kama ingekuwa kocha mzungu angekuwa anamtendea haki, kama vile alivyokuwa U-Conn.

Namshauri Hasheem ahame hii Memphis, aende Oklahoma, NO, NJN. Sehemu ambazo hamna wachezaji wenye Ego, kama wachezaji wa Memphis, Randolf, Gasol, Rudy Gay.
Good Luck, HT.

Kaka afadhali leo walau amedaka defensive rebounds 3.

MEM kweli kuna wachezaji wenye ego sana, akina Gay, Gasol, Mayo..hii group haiwezi kumsaidia Shim ku-develop, kwa sababu hawa watu ni kama wanajitangaza kupitia MEM. Angekuwa na turnovers ningekuwa na wasiwasi kwamba hana konfo, ni vyema aende timu ambayo itamthamini ndani ya court.
 
hata kama akitolewa..he had his five minutes of fame...
wa tz tumpende mtu,kwa yote...i mean hata km akifulia:smile-big:
mnataka akae NBA for life sasa??? amekuwa mungu??
hasheem kaza buti,ukitolewa kuna wengine we will still love you,regardless...:smile:
 

Hizo habari za kumbonda TID wameziandika wapi ? Ina maana jamaa wamejua hilo?
Not only did he have a shaky rookie season, Hasheem "The Dream" was also involved in an altercation with R&B singer T.I.D. According to reports, Thabeet punched the singer in the face, knocking him unconscious.
Apparently, when T.I.D woke up, his cell phone was missing and the singer went to the police station to file a case against Thabeet. Was this the beginning of a tumultuous stay in Memphis? Who knows?
Memphis Grizzly Hasheem Thabeet: Is It Already Too Late? | Bleacher Report
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom