Hasheem Thabeet v/s blake griffin

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
Woote walikuwa drafted mwaka jana
slide1.shtml

465822863.jpg


whats wrong with the thabust? mwenzake kila siku ana shine Clippers......
 
Mkuu huyo dogo balaa juzi kapiga point 47,nasubiri kumwona kwenye All Star Game .Hashim sijui alifanya nini hadi akashika namba 2
 
H.T kadhihirisha ana deserve a shot in the NBA by merit. Mi naamini kocha amzimii tu dogo, na kama mfatiliaji wa NBA unajua showtime counts and he aint gettin that. Dogo kathibitisha aliposhushwa D league his talents are unquestionable.

It is just that 'plays' in memphis are not centred round dogo and memphis are not concerned in exploiting his talent. lakini si amini hata chembe kama H.T is that bad, only he is playing under a coach who doesnt rate him personally.
 
Mhhh sikubaliani ni wewe kuwa sababu ni kocha kutompenda. Kama unajua ball, utaona wazi HT ana upungufu mkubwa both ofensively na defensively- hasa against 2,3 zones. Nilishaandika hapa kuwa hakuwa tayari kuwa pro, na angebaki mwaka mmoja au akamaliza shule- Ucon ingemjenga vizuri. Na bahati mbaya washauri wake ni wapambe wa kibongo tu ambao wanafikiri NBA ni sawa na kuichezea pazi au Vijana za bongo.

Wenzake wanajifua, off season kwa kuajiri wataalam wa game, yy anakwenda bongo kutesa. Akijifua hasa positioning na jinsi ya ku-post, anaweza kutumia vizuri ungongoti wake.

BG ni namba nyingine, amejifua sana na sasa anafaidi matunda yake.
 
Well my analysis ya kuwa kocha amzimii imetokana na kipindi cha NBA, wakati jamaa ndio anaingia tu 'Memphis' walimfanyia kipindi cha kumfuatilia how he would adjust to the nba and if he will justify his second pick from the draft. Kocha aliishaanza na sijui hoo huyu jamaa sio talented ki hivyo he is only a shot blocker and you can not say he was a great college player.

Kama kocha anaanza na kauli hizo ujue mbele si kuzuri, na ameonesha chuki zake alipotaka kumdhalilisha, HT ali m-prove kwamba he does not belong in the lower league nor he doesnt need development its just that he needs court time and plays to suit him.

Basket za 'Savio', 'DB', Pazi Vijana huwezi kuwafananisha na hawa. Hii si biashara ya kumuangalia Doolly au Kipingu wala Bategeke, In NBA kila timu ina design yake ya offence na defence. Some teams rely heavily on defence to create wins and some teams rely heavily on offence to win games despite poor defence (mfano suns while Amare was the poser) na ndio maana playoffs walikuwa wanapata tabu wakikutana na team zenye defence nzuri na Kobe as the offensive leader.

Hila huyu dogo is not a part of the bigger picture offensively nor defensively in Memphis. Yupo yupo tu huwezi sema sijui habari ya Zone za kibongo bongo mnakimbia kimbia tu around the 'D' kwa kukariri. Hawa jamaa wanahitaji short blocker awe wapi au rebounder awe anazagaa wapi kama ni wakutegemewa with less than 10 min per game you wont get the right stats na ukizingatia mangongoti wengi NBA.

Hila by the looks inaoneka hayuko serious even if his moment arrives tommorrow anajirusha sana na hana masifa hata nilivyomuona kwenye docu (eti alikuwa kama anataka cheza mayenu).
 
Duh, naona kama ume-confirm niliyosema na umejijibu mwenyewe tena kwa maelezo murua. Kama huonyeshi kitu mazoezini, na umeshasema hii ni biashara whoz going to give you time to play ? Sio chuki these people are in business, sasa ulitegemea kocha aseme nini ?

Hawezi kuwa part of any big picture, hata Israel au Angola. Anahitaji kujifua sana. Niliandika sana ktk thread nyingine on the same subject, na nikatolea mfano wa Yao. Kama ulifuatilia, Ming alikuwa mchovu, anarusha mpaka free throw airball, lakini alijifua sana off season, na akapikwa na akina ewing, na ulione makali yake later. You have to invest, off season na later ndo utavuna sio kutegemea ungongoti tuu, na hao wapambe ambao walikuwa wameshamchagulia aina za magari ya kununua, sijui nyumba, madem ect....!
 
kaka huwezi hukawa succesful kwenye kitu chochote duniani kama huna descipline, na being a baller is no exception. mimi binafsi sijui routine ya huyu jamaa au anajifua vipi wala his commitment ikoje kwenye kazi yake inayo mlipa.

Hila huwi namba 2 pick if they dont see potential, on the other hand wapo mpaka waliowai kuwa namba one picks na hawa ku live up to the expections mfano 'Kandi'. Hila huyu dogo to be fair to him he hasnt been given a chance to prove himself, na game la mwisho kumuangalia mimi binafsi lilikuwa away to Utah nadhani, amna lolote alilokuwa akifanya offensively zaidi ya ku- set screens na kidogo defensively alikamata rebounds kadhaa kwa muda mchache aliokuwa anapata kutokana 'randolph' foul trouble.

That is not what you call a chance to prove your self, let the offence include you awe ana ruhusiwa ku post mara kwa mara. Lakini kama wewe ni ngongoti halafu kazi yako kubwa ni ku-set screen wakati mpira una move offensively, clearly ur not part of the bigger picture offensively.

Na chance plays a role in terms of being allowed to take a huge number of shots au kutumiwa sawasawa defensively. Allan Iverson was done after he moved to Denver no more unlimited shots, Ben Wallace was done after he moved from Detroit the style of play changed, Dereck Rose is now a super star kwa kuwa plays are centerd round him. Hii ndio chance nayosema give dude opportunity to prove himself first lakini five to ten mins per game halafu hupewi chance ya ku-attack you'll never shine in the NBA.

Siku njema anyway at the end of the day hata JJ yeye na career yake.
 
To me Hasheem is like a diamond in the rough!
Naamini akienda NBA Franchise nyingine na akampata kocha mzuri wa ku-work nae vema, atafanikiwa. Angempata kocha mzuri wa mabig men/forwards kama vile Patrick Ewing kule Orlando jamaa angemsaidia sana. Obviously pale Memphis kwa style ya basketball yao na coaching staff iliopo haimpi nafasi kabisa Hasheem. All he needs is a trade so that he can get a fresh start elsewhere!
My 2 cents!!
 
Statistics don't lie..huezi kumlaumu kocha kwa Hasheem kushindwa hata kukamata rebounds..vitu vingine vipo dhahiri tu. NDIO kocha wake hamuamini na hivyo kumpa minutes chache, na hiyo inatokana na yeye mwenyewe kushindwa kuonyesha uwezo wake hata kwene hizo dakika chache anazopewa. Kwa upande wa assists au FG tunaeza kumsare kidogo, lakini hata kwa rebounds? acheni jameni.
 
H.T kadhihirisha ana deserve a shot in the NBA by merit. Mi naamini kocha amzimii tu dogo, na kama mfatiliaji wa NBA unajua showtime counts and he aint gettin that. Dogo kathibitisha aliposhushwa D league his talents are unquestionable.

It is just that 'plays' in memphis are not centred round dogo and memphis are not concerned in exploiting his talent. lakini si amini hata chembe kama H.T is that bad, only he is playing under a coach who doesnt rate him personally.
mkuu kwa ushauri huu nyie ndio mtamchimbia dogo kaburi......
 
Duh, naona kama ume-confirm niliyosema na umejijibu mwenyewe tena kwa maelezo murua. Kama huonyeshi kitu mazoezini, na umeshasema hii ni biashara whoz going to give you time to play ? Sio chuki these people are in business, sasa ulitegemea kocha aseme nini ?

Hawezi kuwa part of any big picture, hata Israel au Angola. Anahitaji kujifua sana. Niliandika sana ktk thread nyingine on the same subject, na nikatolea mfano wa Yao. Kama ulifuatilia, Ming alikuwa mchovu, anarusha mpaka free throw airball, lakini alijifua sana off season, na akapikwa na akina ewing, na ulione makali yake later. You have to invest, off season na later ndo utavuna sio kutegemea ungongoti tuu, na hao wapambe ambao walikuwa wameshamchagulia aina za magari ya kununua, sijui nyumba, madem ect....!
mie naona dogo HT anahitaji maombezi ya kakobe......yeye muda wa kama alivyofanya Yao yeye anakula bata na vimeo kama jokate na kugombana na TID.....kusema ukweli dogo anahitaji kujifua zaidi....
 
DOgo anachotakiwa kufanya ni ku-improve upwards..yaani wakati wa offseason yeye anajifua vilivyo kama wenzake...sasa yeye anakwenda bongo kutanua na wapambe nuksi.!!!!!...hii haitamsaidia kabisa!!!!!......anatanua ili iweje?? utalost dogo
 
Hata sijui unaongea nini JC. HUWEZI KUPEWA NAFASI AU KUPENDWA kama una mapungufu na huonyeshi juhudi zozote za kuyatatua. Hivi unategemea ktk ball upangiwe au pewa ruhusa ya rebounds, postup, ect ? Mambo ya ku-set screens ni yeye, na akiset kwa nini asi-roll ili apate lay up au hata dunks ? Kama unafuatilia utaona yy anaset na then kamaliza kazi !! Na hizo ndo basics nilizoongelea awali, kuwa he needs to improve a lot. Huwezi kufananisha na Rose, ect, yule ni point guard, ball handler mzuri na bingwa wa dribble penetrations. Obvious timu imejengwa around him.

Hata akihamia wapi, hawezi kupata namba even minutes kwa style ile na mapungufu yake. Ukienda pro, kuna vitu lazima uwe navyo kama basics, na kocha anakoleza kidogo na kukutumia/badilisha according to style yake of plays. Usitegemee uende ktk ligi kama EPL, au la liga then kocha aanza kukufunza kupiga danadana au kanzu....! Kitakachomuokoa ni juhudi binafsi, tena za ziada. wengine tuliyaona haya tangu awali na kushauri lakini sikio la kufa.... na ss anayaona !
 
163694_498112043462_8245623462_6155567_2672256_n.jpg


Blake Griffin & Kevin Love madogo unstoppable....where is HT?
 
Back
Top Bottom