- Thread starter
- #241
Na kubwa zaidi, katengeneza history ambayo si ajabu inaweza kuchukua zaidi ya miaka 10 asitokee mwingine... acha NBA iitwe NBA bhana! Na bado ana uwezo wa kuishi kwa basketball kwa angalau miaka 3 zaidi ikiwa ataamua kutafuta opportunity popote ilipo... hata kama ni Angola League!Chaaaaa!...atleast kapata visenti vyake na kama mjanja kadivert risks kwa kuinvest multiple projects...