Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF.
Nimekuwa nikijiuliza sana kwini kuna tatizo gani kwa huyu bwana mdogo toka aingie NBA mwaka 2009 alikuwa 2nd pick overall na Memphis Grizzlies na sasa yuko Houston Rockets performance yake ina utata sana kwa sie tunao fuatilia sana mchezo huo wa Basketball (NBA) sielewi ni kale kaugonjwa ka kichwa cha mwenda wazimu au ni nini? Bwana mdogo anakalia bench tuuuuuuuuu kulikoni??
Nime kuja na hii hoja ni juu kuibuka kwa kijana mmoja Jeremy Lin ambae anachezea sasa New York knicks alianzia timu ya Warriors na akaenda Houston Rockets. ambaye amefanya maajabu sana ndani ya week 2 Dunia sasa ina mtambua alipewa chance na akaitumia ndani ya week Moja tu aliongoza score NBA kwa wale wote walio join NBA mapema toka NBA ianzishwe. Na ni matumaini yangu Jeremy Lin anachaguliwa kuingia NBA All Stars for the first time this 2012,
Sasa sielewi kwa huyu mdogo wetu Hasheem kulikoni ni kudumaa kwa ubongo au yeye anajiona bado ni mtoto??
Hii inatuonyesha nini kwa wanamichezo wetu wa kitanzania???
Karibuni kutoa maoni yenu
Nimekuwa nikijiuliza sana kwini kuna tatizo gani kwa huyu bwana mdogo toka aingie NBA mwaka 2009 alikuwa 2nd pick overall na Memphis Grizzlies na sasa yuko Houston Rockets performance yake ina utata sana kwa sie tunao fuatilia sana mchezo huo wa Basketball (NBA) sielewi ni kale kaugonjwa ka kichwa cha mwenda wazimu au ni nini? Bwana mdogo anakalia bench tuuuuuuuuu kulikoni??
Nime kuja na hii hoja ni juu kuibuka kwa kijana mmoja Jeremy Lin ambae anachezea sasa New York knicks alianzia timu ya Warriors na akaenda Houston Rockets. ambaye amefanya maajabu sana ndani ya week 2 Dunia sasa ina mtambua alipewa chance na akaitumia ndani ya week Moja tu aliongoza score NBA kwa wale wote walio join NBA mapema toka NBA ianzishwe. Na ni matumaini yangu Jeremy Lin anachaguliwa kuingia NBA All Stars for the first time this 2012,
Sasa sielewi kwa huyu mdogo wetu Hasheem kulikoni ni kudumaa kwa ubongo au yeye anajiona bado ni mtoto??
Hii inatuonyesha nini kwa wanamichezo wetu wa kitanzania???
Karibuni kutoa maoni yenu