Hasara kubwa tutakayo ipata Tanganyika/Tanzania ikiwa Wa Zanzibari watajitenga

GHIBUU

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
4,432
3,006
Hasara kubwa tutakayo ipata Tanganyika ikiwa Wa Zanzibari watajitenga ni mafuta yao ambayo mpaka sasa tunalazimisha kuwa ni ya Muungano wakati mapato ya madini yetu huku bara hata senti tano hawapati Visiwani!
Na utalii..na Kibiashara.

Baadhi ya Faida watakazopata Zanzibar ikiwa watajitenga ni kama ifuatayo:
1) Zanzibar itajiunga na Jumuiya za Kimataifa kama vile OIC na kushirikiana moja kwa moja na jumuiya hii kwa faida na maslahi ya Zanzibar!
2) Zanzibar itafaidika na ushuru wake wa forodha bila kusimamiwa au kuingiliwa na TRA!
3) Zanzibar itakuwa kiuchumi baada ya kuitangaza kisiwa hicho kuwa ni Free Port kama ilivyo Dubai na Hongkong!
4) Zanzibar itaachana na siasa za kijamaa au nchi isiyokuwa na dini na badala yake kujali mila na desturi zenye kuegemea maadili ya Kiislamu na hivyo kusaidia kupunguza madanguro na vilabu vya pombe na ukimwi na madawa ya kulevya kupungua kwa kasi kubwa!
5) Vyanzo vya kazi kuanzishwa na kupunguza ukosefu wa kazi uliosababishwa na utawala wa TZ chini ya siasa mbovu zilizoasisiwa na Julius K. Nyerere!
6) Utawala wa sheria utapamba moto na kufanya tawala za kimabavu na za wauwaji kama za Benjamin Mkapa kuwa historia ktk visiwa hivyo!
 
Hivi Zanzibar kuna MAFUTA yanachimbwa?...kama sivyo, ni hasara ipi hiyo tutakayopata kutokana na mbuzi huyo wa kwenye gunia??
 
Excellent! Wajitenge haraka basi. Nasi tutafaidi kwani Hamad na Nahodha watatoka huku kwetu
 
Kama wazanzibari hawapendi muungano si jambo baya kujitenga. Ulikuwapo mpango wa kujiunga na Uganda na Kenya hapo zamani. I am sure na wao wangetishia watanganyika kukosa hili na lile kipindi ambapo wangewaza kujitenga. Sishangai kusikia hilo toka kwako maana ndivyo mlivyo nyie wenzetu.
Bahati mbaya mliyonayo wenzetu kila baya linalowakumba mnadhania mnaletewa na watu wengine. Mnataka ionekane umasikini wa wazanzibari unaletwa na wabara. Mnasahau kabisa utajiri wa ajabu ajabu walionao watendaji wa SMZ ambao inasemekana mishahara yao midogo. Kama kuna ufisadi mkubwa kama ushahidi wa kimazingira unavyoonyesha unadhani inahitajika nguvu kutoka nje kuifanya nchi kuwa maskini?
Madanguro nayo yanasababishwa na wabara siyo? Wateja wake wanatoka wapi? Hao Mashoga maarufu wa Visiwani wanatoka mkoa gani huku Bara? Ubaguzi wa Wapemba na Wanguja unatoka mkoa gani wa Tanganyika? Watanganyika wanawezaje kutoka bara kufuata kazi za utalii wakati tayari kuna Wazanzibari wanafanya kazi vizuri huko?
Ushauri wangu kwako Mh. Mbaguzi, Ghibuu, punguzeni malalamiko ya harakaharaka kabla ya kujichunguza wenyewe na kuona ni wapi mnakosea. Wengi wenu hampendi kujituma ndiyo maana hata Wapemba huonekana tishio kwa Wanguja. Sababu ni kwamba wakati wenzenu wanahangaika kusoma na kufanya kazi kwa bidii nyie mpo maskani mnazungumza na kulalamika. Baada ya Muda ooh haiwezekani kila hospitali iongozwe na mpemba au kila hoteli wamejaa Wabara. Ubaguzi hautawaisha na kama mpo serious kuvunja Muungano anzeni kuwashawishi wenzenu visiwani ili mje na kauli moja na hivyo kuwa rahisi kuvunja Muungano. Ingetokea nikawa Rais ningewapa nafasi ya kupiga kura ya maoni kusema Yes or No to Muungano. No ikishinda tu kesho yake naomba kufanya x-change ya maafisa wa serikali na baada ya mwezi natoa uraia kwa Wazenji watakopenda kuishi Bara. Mwisho wa mjadala.
 
Free Port? U know what Freeport means? Zanzabar hawataki watu kunywa bia kwenye BAR itakuwaye free port?

Hawataki Makanisa how can it be a free port? Have you been in Hongo Kong or Just Dubai???

Wanawaita Waafrika wenzao Kafir just because they are christian before christianity and islam wote tuliamini same... now they are better?

Be real !!!
 
Free Port? U know what Freeport means? Zanzabar hawataki watu kunywa bia kwenye BAR itakuwaye free port?

Hawataki Makanisa how can it be a free port? Have you been in Hongo Kong or Just Dubai???

Wanawaita Waafrika wenzao Kafir just because they are christian before christianity and islam wote tuliamini same... now they are better?

Be real !!!

Nakukosoa hapo kidogo,kafir anaweza kuwa mtu yoyote iwe muislamu au christian,,,,sema jengine,,,
 
Nakukosoa hapo kidogo,kafir anaweza kuwa mtu yoyote iwe muislamu au christian,,,,sema jengine,,,

Kwanini wanachoma Makanisa huko visiwani? what's the name they called people who attended those churches???

One of my parent is Islam and Another Christian...
 
Kwanini wanachoma Makanisa huko visiwani? what's the name they called people who attended those churches???

One of my parent is Islam and Another Christian...
Asilimia 99 zanzibar ni waislamu,na zanzibar ina culture yake na mila zake,ukiangalia zanzibar yapo makanisa,asilia moja tulionayo ya christian basi hawajai hayo makanisa tulonayo toka hapo awal kabla ya mapinduzi,makanisa munayotujengea hapa zanzbar hayana viwango na wala hamuna vibali,pia ardhi yetu ni ndogo sana,na kama munavyojua makanisa wanachukua heka,jengine zaidi katiba yetu inasema mtanganyika haruhusiki kumiliki ardhi zanzbar,kutokana na ardhi yetu ni ndogo,hata katiba ya muungano kipo hicho kipenge.

Kuna sheria zipo hapa zanzbar ambazo za umiliki wa ardhi lakini zimekuwa zikivunjwa,na hili ni kosa la serikali ambayo iliyokuwepo hapo awali ilishindwa kulifuatilia na ndio wananchi wameona sasa wachukue hatua mikoni mwao,,,, sema jengine /
 
Wakati mwingine ni vyema kumwacha Nguruwe kwenye tope lake alilolizoea maana ukishindana kugaragizana naye ndani ya tope hilo wakati yeye analipenda basi utakayechafuka ni wewe.
 
hasara kubwa tutakayo ipata tanganyika ikiwa wa zanzibari watajitenga ni mafuta yao ambayo mpaka sasa tunalazimisha kuwa ni ya muungano wakati mapato ya madini yetu huku bara hata senti tano hawapati visiwani!
Na utalii..na kibiashara.

Baadhi ya faida watakazopata zanzibar ikiwa watajitenga ni kama ifuatayo:
1) zanzibar itajiunga na jumuiya za kimataifa kama vile oic na kushirikiana moja kwa moja na jumuiya hii kwa faida na maslahi ya zanzibar!
2) zanzibar itafaidika na ushuru wake wa forodha bila kusimamiwa au kuingiliwa na tra!
3) zanzibar itakuwa kiuchumi baada ya kuitangaza kisiwa hicho kuwa ni free port kama ilivyo dubai na hongkong!
4) zanzibar itaachana na siasa za kijamaa au nchi isiyokuwa na dini na badala yake kujali mila na desturi zenye kuegemea maadili ya kiislamu na hivyo kusaidia kupunguza madanguro na vilabu vya pombe na ukimwi na madawa ya kulevya kupungua kwa kasi kubwa!
5) vyanzo vya kazi kuanzishwa na kupunguza ukosefu wa kazi uliosababishwa na utawala wa tz chini ya siasa mbovu zilizoasisiwa na julius k. Nyerere!
6) utawala wa sheria utapamba moto na kufanya tawala za kimabavu na za wauwaji kama za benjamin mkapa kuwa historia ktk visiwa hivyo!

al shabib
 
Hasara kubwa tutakayo ipata Tanganyika ikiwa Wa Zanzibari watajitenga ni mafuta yao ambayo mpaka sasa tunalazimisha kuwa ni ya Muungano wakati mapato ya madini yetu huku bara hata senti tano hawapati Visiwani!
Na utalii..na Kibiashara.

Baadhi ya Faida watakazopata Zanzibar ikiwa watajitenga ni kama ifuatayo:
1) Zanzibar itajiunga na Jumuiya za Kimataifa kama vile OIC na kushirikiana moja kwa moja na jumuiya hii kwa faida na maslahi ya Zanzibar!
2) Zanzibar itafaidika na ushuru wake wa forodha bila kusimamiwa au kuingiliwa na TRA!
3) Zanzibar itakuwa kiuchumi baada ya kuitangaza kisiwa hicho kuwa ni Free Port kama ilivyo Dubai na Hongkong!
4) Zanzibar itaachana na siasa za kijamaa au nchi isiyokuwa na dini na badala yake kujali mila na desturi zenye kuegemea maadili ya Kiislamu na hivyo kusaidia kupunguza madanguro na vilabu vya pombe na ukimwi na madawa ya kulevya kupungua kwa kasi kubwa!
5) Vyanzo vya kazi kuanzishwa na kupunguza ukosefu wa kazi uliosababishwa na utawala wa TZ chini ya siasa mbovu zilizoasisiwa na Julius K. Nyerere!
6) Utawala wa sheria utapamba moto na kufanya tawala za kimabavu na za wauwaji kama za Benjamin Mkapa kuwa historia ktk visiwa hivyo!



Huijui zanzibar wala Tanganyika, hujui hulka za wakazi wa pande zote mbili. Hujui faida za kuungana na hasara za kutengana kwa pande zote mbili. kama OIC inamsaada ingeanzia na Somalia, Sudan na nchi nyingi za Kiislamu ambazo zimekumbwa na machafuko baada ya wananchi kuchoshwa na udhalimu na viwango vya maendeleo kwenye nchi zao.

unaweza ukawa na freeport lakini kama hakuna mizogo ni bure. Sasa hivi muungano wetu umefika mbali, wapemba wote wajasiliamali wako tandika na kariakoo wanabiashara za kufa mtu, unadhani kunamtu mwenye akili timamu ambaye anaweza kuvuruga muungano uliopo ili aanze kuhangaika? wewe unasema haya maana naamini tanzania sio makazi yako wewe upo utumwani UK unatunza wazee kama wengine wengi wanavyofanya. Lugha ya kuvunja muungano huku haitamkwi na waungwana inatamkwa na watu wenye fikra finyu, wasio na shukrani wala kujua athari au faida za kuvunja muungano. Mafuta sio suluhisho la kila kitu. ndiyo maana tanzania tuna gas ambayo tulitegemea itakuwa mkombozi wa matatizo yetu yakiwemo ya ukosefu wa nishati ya umeme kinyume chake mpaka leo wala hakuna anayejua faida ya hiyo gesi. kama umetumwa ulete chokochoko waambie waambie waliokutuma watekeleze ushauri wa mizengo pinda alioutoa mwaka jana kwenye kikao cha bunge wakati wa maswali na majibu ya papo kwa papo muone nani atatanga na njia. OIC ni nani? mbona haimsaidii mdau wake Gadaffi? unasiasa za kufikirika eeeh? hivi wewe kama una robokilo ya unga akatokea mwenye gunia la unga akakuambia changanya robo yako halafu tuite unga huu ni wetu sote hutafurahi? mbona mko hivyo jamani!!!
 
Kama wazanzibari hawapendi muungano si jambo baya kujitenga. Ulikuwapo mpango wa kujiunga na Uganda na Kenya hapo zamani. I am sure na wao wangetishia watanganyika kukosa hili na lile kipindi ambapo wangewaza kujitenga. Sishangai kusikia hilo toka kwako maana ndivyo mlivyo nyie wenzetu.
Bahati mbaya mliyonayo wenzetu kila baya linalowakumba mnadhania mnaletewa na watu wengine. Mnataka ionekane umasikini wa wazanzibari unaletwa na wabara. Mnasahau kabisa utajiri wa ajabu ajabu walionao watendaji wa SMZ ambao inasemekana mishahara yao midogo. Kama kuna ufisadi mkubwa kama ushahidi wa kimazingira unavyoonyesha unadhani inahitajika nguvu kutoka nje kuifanya nchi kuwa maskini?
Madanguro nayo yanasababishwa na wabara siyo? Wateja wake wanatoka wapi? Hao Mashoga maarufu wa Visiwani wanatoka mkoa gani huku Bara? Ubaguzi wa Wapemba na Wanguja unatoka mkoa gani wa Tanganyika? Watanganyika wanawezaje kutoka bara kufuata kazi za utalii wakati tayari kuna Wazanzibari wanafanya kazi vizuri huko?
Ushauri wangu kwako Mh. Mbaguzi, Ghibuu, punguzeni malalamiko ya harakaharaka kabla ya kujichunguza wenyewe na kuona ni wapi mnakosea. Wengi wenu hampendi kujituma ndiyo maana hata Wapemba huonekana tishio kwa Wanguja. Sababu ni kwamba wakati wenzenu wanahangaika kusoma na kufanya kazi kwa bidii nyie mpo maskani mnazungumza na kulalamika. Baada ya Muda ooh haiwezekani kila hospitali iongozwe na mpemba au kila hoteli wamejaa Wabara. Ubaguzi hautawaisha na kama mpo serious kuvunja Muungano anzeni kuwashawishi wenzenu visiwani ili mje na kauli moja na hivyo kuwa rahisi kuvunja Muungano. Ingetokea nikawa Rais ningewapa nafasi ya kupiga kura ya maoni kusema Yes or No to Muungano. No ikishinda tu kesho yake naomba kufanya x-change ya maafisa wa serikali na baada ya mwezi natoa uraia kwa Wazenji watakopenda kuishi Bara. Mwisho wa mjadala.


Ni kweli aisee, aanze kuwahamasisha wazenj wenzie ili wauvunje huo muungano badala ya kuja kutulalamikia tu.
 
Hasara kubwa tutakayo ipata Tanganyika ikiwa Wa Zanzibari watajitenga ni mafuta yao ambayo mpaka sasa tunalazimisha kuwa ni ya Muungano wakati mapato ya madini yetu huku bara hata senti tano hawapati Visiwani!
Na utalii..na Kibiashara.

Baadhi ya Faida watakazopata Zanzibar ikiwa watajitenga ni kama ifuatayo:
1) Zanzibar itajiunga na Jumuiya za Kimataifa kama vile OIC na kushirikiana moja kwa moja na jumuiya hii kwa faida na maslahi ya Zanzibar!
2) Zanzibar itafaidika na ushuru wake wa forodha bila kusimamiwa au kuingiliwa na TRA!
3) Zanzibar itakuwa kiuchumi baada ya kuitangaza kisiwa hicho kuwa ni Free Port kama ilivyo Dubai na Hongkong!
4) Zanzibar itaachana na siasa za kijamaa au nchi isiyokuwa na dini na badala yake kujali mila na desturi zenye kuegemea maadili ya Kiislamu na hivyo kusaidia kupunguza madanguro na vilabu vya pombe na ukimwi na madawa ya kulevya kupungua kwa kasi kubwa!
5) Vyanzo vya kazi kuanzishwa na kupunguza ukosefu wa kazi uliosababishwa na utawala wa TZ chini ya siasa mbovu zilizoasisiwa na Julius K. Nyerere!
6) Utawala wa sheria utapamba moto na kufanya tawala za kimabavu na za wauwaji kama za Benjamin Mkapa kuwa historia ktk visiwa hivyo!

Kazi unayo ndugu, Manake unavyoonekana na maelezo yako kuna kitu kiko ndani yako mbona umetaja maraisi wawili tu wakati toka tupate uhuru tumekuwa na marais wanne?
 
Hasara kubwa tutakayo ipata Tanganyika ikiwa Wa Zanzibari watajitenga ni mafuta yao ambayo mpaka sasa tunalazimisha kuwa ni ya Muungano wakati mapato ya madini yetu huku bara hata senti tano hawapati Visiwani!
Na utalii..na Kibiashara.

Baadhi ya Faida watakazopata Zanzibar ikiwa watajitenga ni kama ifuatayo:
1) Zanzibar itajiunga na Jumuiya za Kimataifa kama vile OIC na kushirikiana moja kwa moja na jumuiya hii kwa faida na maslahi ya Zanzibar!
2) Zanzibar itafaidika na ushuru wake wa forodha bila kusimamiwa au kuingiliwa na TRA!
3) Zanzibar itakuwa kiuchumi baada ya kuitangaza kisiwa hicho kuwa ni Free Port kama ilivyo Dubai na Hongkong!
4) Zanzibar itaachana na siasa za kijamaa au nchi isiyokuwa na dini na badala yake kujali mila na desturi zenye kuegemea maadili ya Kiislamu na hivyo kusaidia kupunguza madanguro na vilabu vya pombe na ukimwi na madawa ya kulevya kupungua kwa kasi kubwa!
5) Vyanzo vya kazi kuanzishwa na kupunguza ukosefu wa kazi uliosababishwa na utawala wa TZ chini ya siasa mbovu zilizoasisiwa na Julius K. Nyerere!
6) Utawala wa sheria utapamba moto na kufanya tawala za kimabavu na za wauwaji kama za Benjamin Mkapa kuwa historia ktk visiwa hivyo!

UVIVU (hasa wa kufikiri) HAUNA DAWA
 
Ni vema muungano ukafa,labda hizi kelele zitapungua. Sijawahi pata allowance kwa kuungana na hawa jamaa hapo ng`ambo.
 
Ni kweli aisee, aanze kuwahamasisha wazenj wenzie ili wauvunje huo muungano badala ya kuja kutulalamikia tu.

Waongo hao huku hatutaki huku wala kiulaini!
Wamuombe Mnyaa na Arashidi wapeleke hoja BINAFSI Bungeni ya kuuvunja muungano huu wa kisanii. tena leo muache bla bla tumesha wachoka ila hamjui tu. ýí£$ím$ß zeönæ.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom