Has CUF(Bara) upstaged CHADEMA on the issue of new Constitution?

Afadhali wao CUF wameleta kitu cha kujadili yaani document rasimu na mapendekezo yao, chadema hawana muda wa kuandaa hata mapendekezo lakini kila siku wanadai...aise kelele nyingi utendaji zero.

CUF ni chama kimechuja, kinatafuta kuregain kutumia cheap popularity. Hiyo rasimu zero ya katiba iliandaliwa na vyama vyote vya upinzani ikiwemo chadema, na hiyo rasimu haikuwahi kufikishwa kokote. CUF wameiibua bila hata kuifanyia review kuona kama kuna kitu kimebadilika toka itengenezwe na wakaipeleka kwa waziri husika. Kama sio kutafuta umaarufu, kulikuwa na haja gani ya kuipeleka kwa maandamano na bila kujali kuwa yemezuiliwa na polisi

CUF ni "Bata" kama alivyosema Mwanasheria Mkuu Jaji Werema, wanapiga kelele, kudai kwa nguvu, ili iwape ccm na serkali yake nafasi ya kusema kuwa mnadai katiba kwa nguvu. Chadema inapeleka hoja Bungeni, ili kuunda utaratibu, nadhani issue hapa sio katiba mpya kwa kuwa hilo limeshapita hata JK kailikubali, issue ni utaratibu gani unafaa wa kukusanya maoni. CUF hiyo ya kwao sijui ilikusanywaje kama sio ile rasimu ya vyama vyote. Tukishakuwa na one central point ya kukusanya maoni kila wadau watapeleka maoni yao kwa utaratibu utakaokubalika, si kwa maandamano wala kupigana virungu!!

Kimsingi CUF walichemka, na of all stupid thing they did kumpelekea Celine Kombani, that was mistakes na hotuba ya JK ya 31st imewaumbua sana sana. Ni vyema CUF wakajua kuwa kwa mwendo huo wanazidi kujipunguzia umaarufu, kwani wamechemsha issue ya Zenji sasa inabidi kujitafakari ili kuona jinsi ya kuifanya iwe na umaarufu stahili TZ Bara.

I want to believe kuwa CDM wanafanya vizuri, kudai katiba hii kwa utaraibu ule unaokubalika na ambao hautakuwa na vurugu. Huo mtego wameuvuka kwani CCM ilishailabel CDM kuwa ni chama cha fujo. Kuipeleka bungeni is the most smart move kuliko kuwawasilisha rasimu 0 kwa maandamano, halafu walioandamana wenywe hawajui hata maana ya katiba loh
 
Achana nao hao, wazaramo wana wimbo wao wa gombe sugu, wanaimba "mlevi oooooh... mlevi.... hana maana...." phd's chonga domo milele wakishalewa ndiyo wanadai katiba mpya. Pombe ikishatoka akilini wanasau kila kitu.

Take it from me, CUF will deliver it.

gombe sugu...... what is this..... nimeshajua wapa JF kuna waza...nz...br wanataka bara tugawanyike.. na wameanza kuona kuwa katiba mpya out ya wazalendo halisi wa TZ ni chachu yao... yaani keki italiwa na aliyefanya kazi ... mshindwe kwa jina la CDM
 
gombe sugu...... what is this..... nimeshajua wapa JF kuna waza...nz...br wanataka bara tugawanyike.. na wameanza kuona kuwa katiba mpya out ya wazalendo halisi wa TZ ni chachu yao... yaani keki italiwa na aliyefanya kazi ... mshindwe kwa jina la CDM
CUF kama ilivyotazamiwa imekimbilia kuunga mkono tamko la Kikwete la kuteua tume ya kurekebisha katiba bila tafakuri ya kina, si ni wale wale ? Wadau wengine tunaikataa hii janja ya Kiwete kwani katiba mpya si hisani yake, ni haki yetu Watanzania kwa ujumla wetu. Kikwete asithubutu kuteua wajumbe wa hii tume na badala yake liundwe Bunge la Katiba kama inavyofanyika duniani kote kama nia kweli ni katiba mpya na si kiini macho.
 
yaani humu JF ndo maana mie huwa sichangii.! Maana watu mmekaa kishabiki shabiki tu. Badala ya kuwaunga mkono CUF mnaanza kuwaponda. Suala la Katiba mpya ni la Watanzania wote bila kuangalia dini, kabila, rangi, asili, hali za kiuchumi, vyama vya siasa wala elimu zao. CUF tuko nyuma yenu
Iholomela! usiogope makelele, sema ukweli bila kuficha. changia kwa kadri ya uweza wako. pasi na mimi na wewe na yule kusema wale wale wanaodhani kwamba wanajua hawatajua kwamba hawajui na hawajajua
 
UJINGA NA UBABE WA MBOWE NA KUNDI LAKE NDIO UNAOIMALIZA DEMOCRASIA YA TANZANIA.
Wanachadema kama kweli munataka mabadiliko kwa nini hamutaki umoja wa Wapinzani wote ?
Hamuoni Kenya KANU haikutoka Madarakani bila ya umoja wa wapinzani?
Chadema hamuna uwezo wa kuingoza Tanzania kwa sababu chama chenu kiko na problem sawa sawa na ile inayoonekana kwa CUF na hii CCM waliitumia 2005 kwa CUF na 2010 kwa Chadema waliwatisha wakristo kuwa CUF ni wadini na 2010 waliwatisha Waislamu kuwambia hata kwenda MEcca Waislamu hawataruhusiwa Chadema wakishinda musizigawe kura za waislamu kwenye CUF na CCM ungeni nguvu zenu kweye CCM si hivyo Chadema wakishika musitulaumu , ajenga hii ilifanyika kweney misikiti mingi Tanzania kuwa Chadema ni chama cha makanisa na kinaongozwa na kiongozi wa Kanisa labda 2015 muje na mgombea Muislamu tuone CCM itakuja na ajenda gani.
Umoja wa CUF na Chadema ni muhimu katika mageuzi ya katiba mpya, CCM ikifanikiwa kuwagawa wapinzani katika mabadiliko ya katiba hapa 2015 CUF na chadema kama kawaida ni washangiliaji tu.
 
UJINGA NA UBABE WA MBOWE NA KUNDI LAKE NDIO UNAOIMALIZA DEMOCRASIA YA TANZANIA.
Wanachadema kama kweli munataka mabadiliko kwa nini hamutaki umoja wa Wapinzani wote ?
Hamuoni Kenya KANU haikutoka Madarakani bila ya umoja wa wapinzani?
Chadema hamuna uwezo wa kuingoza Tanzania kwa sababu chama chenu kiko na problem sawa sawa na ile inayoonekana kwa CUF na hii CCM waliitumia 2005 kwa CUF na 2010 kwa Chadema waliwatisha wakristo kuwa CUF ni wadini na 2010 waliwatisha Waislamu kuwambia hata kwenda MEcca Waislamu hawataruhusiwa Chadema wakishinda musizigawe kura za waislamu kwenye CUF na CCM ungeni nguvu zenu kweye CCM si hivyo Chadema wakishika musitulaumu , ajenga hii ilifanyika kweney misikiti mingi Tanzania kuwa Chadema ni chama cha makanisa na kinaongozwa na kiongozi wa Kanisa labda 2015 muje na mgombea Muislamu tuone CCM itakuja na ajenda gani.
Umoja wa CUF na Chadema ni muhimu katika mageuzi ya katiba mpya, CCM ikifanikiwa kuwagawa wapinzani hapa 2015 CUF na chadema kama kawaida ni washangiliaji tu.
 
Back
Top Bottom