Baada chereko nyingi ulifika muda wa maakuli, mara wakaingia warembo wa2 na kuanza kunawisha waalikwa' mafuta ya kula! Huwezi amini baadhi ya waalikwa walianza kutokwa na mate ya hamu wakitamani msosi uwahishwe, mara warembo wengine wakaingia na masinia makubwa, kushusha chini' MAFENESI! Watu' haiwezekani turudishiwe hela zetu!