K Keykey JF-Expert Member Dec 1, 2006 3,250 740 Mar 30, 2010 #1 Siyo kwamba harusi zote zinahusisha gharama kubwa, ni hiari ya wale wanaooana. Hii ilitokea hivi karibuni huko Bukoba. Hapa wanaenda kula 'MWEZI wa ASALI' Attachments obugenyi1.jpg 43.8 KB · Views: 179 obugenyi2.jpg 47.6 KB · Views: 201 obugenyi3.jpg 50.6 KB · Views: 286
Siyo kwamba harusi zote zinahusisha gharama kubwa, ni hiari ya wale wanaooana. Hii ilitokea hivi karibuni huko Bukoba. Hapa wanaenda kula 'MWEZI wa ASALI'
GM7 JF-Expert Member Jun 26, 2009 492 24 Mar 30, 2010 #2 Mbona mnarudiarudia? Hizi picha zipo katika thread mbalimbali humu humu ndani ya JF wala si kitu kipya.
Mbona mnarudiarudia? Hizi picha zipo katika thread mbalimbali humu humu ndani ya JF wala si kitu kipya.