:::::::Harusi:::::::::

afrodenzi

Platinum Member
Nov 1, 2010
18,145
9,207
Wakubwa shikamooni
Wadogo marakhaba..
Wengineo mambo zenu..

Nway mie ningependa kuuliza
Nyimbo gani za harusi nzuri ..?
Au nyimbo gani zilikuwa kwenye harusi yako.?
Na kama bado hauja olewa / oa
Unapendekeza zipi? ..

Kuanzia kichangasha ukumbi, wa taratibu,
yaani nyimbo zozote watu watakazo
Furahia na ku cheza ..

Na tanguliza shukrani..
AD.
 
kWANI UNA MPANGO WA KUINGIA HUKO KWENEY CHAMA KARIBUNI AU NDO MAANDALIZI YENYEWE
 
Afrodenzi naona kuna mtu amefika bei. hahahahah congrats nitakupa list ya nyimbo ila kwa drsm Rose Mhando na wakati wa kula ni country songs....
 
Afrodenzi naona kuna mtu amefika bei. hahahahah congrats nitakupa list ya nyimbo ila kwa drsm Rose Mhando na wakati wa kula ni country songs....

Asante sana...

Nisiwachanganye si zangu.....
Namsaidia rafiki ambaye ana panic
......... sasa
 
kobyala ng'wana nkema, kwilolela banu kaganda kaganda
mlemona no nina wa mwana, alebina sundasunda
hahahahaaaaaa wasukuma mpoooooo

nwingine
Naaaaanogaga sana
mambalagi gosata na nogongo
pyeno kembele, na makono gale seba, ko nguno
lya lugendo, nenelagi motokaaaa

nolo basikeli, noyenemotoka
nolo mkokoteni, noyene motoka
nolo sikania, noyene motoka

najua nimekosea maneno ila nimejitahidi mwenzangu
hizo ziliimbwa sana kwenye harusi yangu lol
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Afrodenzi unaujua ule wa....koicho tirotirotiro....koicho tirotirotiro...koicho tirotirotiro...wako (hapa unataja ukoo husika)....wakupaya....wacha kabisa hii si mchezo...the best harusi song ever</span></font></font>

Nkama vile nakuona
Unauimba kweli kweli
Hahahaha lolz

Itabidi nikutafute baadaye
Uniimbie maana
sauti imenipote kidoncho..
Sante mwahego..
 
kobyala ng'wana nkema, kwilolela banu kaganda kaganda<br />
mlemona no nina wa mwana, alebina sundasunda<br />
hahahahaaaaaa wasukuma mpoooooo<br />
<br />
nwingine<br />
Naaaaanogaga sana<br />
mambalagi gosata na nogongo<br />
pyeno kembele, na makono gale seba, ko nguno<br />
lya lugendo, nenelagi motokaaaa<br />
<br />
nolo basikeli, noyenemotoka<br />
nolo mkokoteni, noyene motoka<br />
nolo sikania, noyene motoka<br />
<br />
najua nimekosea maneno ila nimejitahidi mwenzangu<br />
hizo ziliimbwa sana kwenye harusi yangu lol

Mwehhhhh
unaonekana mtamu huo..
Sasa hayo maneno yanamaanisha nini??
Sante ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom