Wingu JF-Expert Member Jan 14, 2011 4,318 401 Jul 26, 2012 #3 Kama kwa steji tu yupo hivyo jee chumbani.Sipate picha usiku wakati mjomba akitaka kamchezo hilo tifu lake sipo.
Kama kwa steji tu yupo hivyo jee chumbani.Sipate picha usiku wakati mjomba akitaka kamchezo hilo tifu lake sipo.
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,887 11,282 Jul 26, 2012 #5 labda alikua anaumwa tumbo la kuhara
ELFU-ONEIR Senior Member Jun 27, 2012 181 64 Jul 26, 2012 #7 hii inaweza isiwe ndoa ndoana ikawa ndo bunduki
Nsiande JF-Expert Member Jul 27, 2009 1,649 872 Jul 26, 2012 #8 JF haiishiwi vichekesho!! Au alifinywa kabla
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Sep 21, 2011 16,510 28,416 Jul 26, 2012 #9 itakua ndoa ya mkeka................
DaMie JF-Expert Member Mar 24, 2010 684 171 Jul 26, 2012 #10 ha ha ha, labda MC anaongea sana naye anataka kuwahi kulala na mumewe mpenzi
Mourinho JF-Expert Member Jul 24, 2012 4,619 2,326 Jul 26, 2012 #14 Bwana harusi atakua kachafua hewa!
Sizinga Platinum Member Oct 30, 2007 9,101 6,027 Jul 26, 2012 #15 Nsiande said: JF haiishiwi vichekesho!! Au alifinywa kabla Click to expand... Mh umepotea sana Engineer...auu ulikuwa kwenye kamati ya kuandaa bajeti yenu....ahaaa nice to see u here
Nsiande said: JF haiishiwi vichekesho!! Au alifinywa kabla Click to expand... Mh umepotea sana Engineer...auu ulikuwa kwenye kamati ya kuandaa bajeti yenu....ahaaa nice to see u here
Kingcobra JF-Expert Member Jan 28, 2011 1,000 309 Jul 26, 2012 #16 Mourinho said: Bwana harusi atakua kachafua hewa! Click to expand... Kwa umbali naona harufu ya ukweli.
Mourinho said: Bwana harusi atakua kachafua hewa! Click to expand... Kwa umbali naona harufu ya ukweli.
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jul 26, 2012 Thread starter #17 Mbuzi Mzee said: Click to expand... Mi naona kama jamaa ana mguu mmoja vile....
Kurzweil JF-Expert Member May 25, 2011 6,622 8,397 Jul 27, 2012 #18 MadameX said: Kijana anabeba matatizo Click to expand... Umeonaee
MSEZA MKULU JF-Expert Member Jul 22, 2011 3,752 5,497 Jul 27, 2012 #19 Jamaa anamfahamu ndo maana hana presha nae
B BLB JF-Expert Member Nov 14, 2011 382 43 Jul 28, 2012 #20 Mbuzi Mzee said: Click to expand... jamaa bonge la handsm