SILENT WHISPER JF-Expert Member Jun 26, 2009 2,209 821 May 31, 2012 #1 kitu simple..tulinunua half cake...! Na tukaazima kisu kwa masai..tukapamba kwa toilet paper..! Jumla kuu elf 12 na mia nane!
kitu simple..tulinunua half cake...! Na tukaazima kisu kwa masai..tukapamba kwa toilet paper..! Jumla kuu elf 12 na mia nane!
Nyati JF-Expert Member Mar 6, 2009 2,489 1,814 May 31, 2012 #2 We acha kuweka picha za watu bila idhini yao.
Baba Sharon JF-Expert Member Oct 22, 2010 373 248 May 31, 2012 #3 Hizi ndo sherehe sasa..............hakuna mbwembwe
SILENT WHISPER JF-Expert Member Jun 26, 2009 2,209 821 May 31, 2012 Thread starter #5 Nyati said: We acha kuweka picha za watu bila idhini yao. Click to expand... kwa hiyo niweke za WANYAMA..???
Nyati said: We acha kuweka picha za watu bila idhini yao. Click to expand... kwa hiyo niweke za WANYAMA..???
M Mkeshaji JF-Expert Member Jan 7, 2011 4,262 1,416 May 31, 2012 #6 Ilishawahi postwa hapa. Halafu harusi nyingi maeneo ya vijijini zilikuwa za namna hiyo.
B'REAL JF-Expert Member Oct 20, 2010 4,279 2,733 May 31, 2012 #7 nimeipendaaaa sanaaa..sijui smile takubaliii tufungeee kamaaa hiyo kuleeee kilemaaa kwa babu
HOMOSAPIEN JF-Expert Member Mar 31, 2011 745 271 May 31, 2012 #8 exelent!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
S Sinag Man Member Mar 15, 2010 77 7 May 31, 2012 #10 Kaka tena gharama si kubwa, Je watoto hawapatikani?
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,270 105,440 May 31, 2012 #11 Bado sana, Misuti na migauni ya harusi hiyo inakupa complications bado.
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 May 31, 2012 #12 Nyati said: We acha kuweka picha za watu bila idhini yao. Click to expand... kweli we nyati ndio nimeamini hilo..
Nyati said: We acha kuweka picha za watu bila idhini yao. Click to expand... kweli we nyati ndio nimeamini hilo..
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Jan 26, 2012 1,996 615 May 31, 2012 #13 huwa zinz dumu sana ndoa za nama hii
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 May 31, 2012 #14 khaa!mbona bi harusi ni kama under 18?
F Fofader JF-Expert Member Sep 28, 2011 860 293 May 31, 2012 #15 Ingawa unataka ionekane rahisi haikuwa rahisi kiasi hicho!! Toilet paper zenyewe zilikuwa hazipatikani mpaka ujuane na meneja wa RTC.
Ingawa unataka ionekane rahisi haikuwa rahisi kiasi hicho!! Toilet paper zenyewe zilikuwa hazipatikani mpaka ujuane na meneja wa RTC.
M Mantisa JF-Expert Member Dec 20, 2010 322 236 May 31, 2012 #17 Mkuu nimekukubali. Wewe ni mwanajeshi
Bei Mbaya JF-Expert Member Nov 24, 2010 2,262 843 Jun 1, 2012 #19 i guess itakuwa mkoani Mbeya,wanapenda suti kama wasabato
IGWE JF-Expert Member Feb 3, 2011 9,463 7,384 Jun 1, 2012 #20 Bei Mbaya said: i guess itakuwa mkoani Mbeya,wanapenda suti kama wasabato Click to expand... nafikiri unataka ugonvi hapa
Bei Mbaya said: i guess itakuwa mkoani Mbeya,wanapenda suti kama wasabato Click to expand... nafikiri unataka ugonvi hapa