PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Watakaohesabiwa ni wale watakaolala KWENYE KAYA usiku wa kuamkia 26/08/12
Wadau,
Napenda kuwajulisha kuwa harusi ya Preta na Erickb52 iliyokuwa ifanyike tarehe 25 kuamkia 26/08/2012 imeahirishwa hadi siku isiyojulikana, kutokana na sababu kuwa baada ya harusi tulipanga walale Honeymoon gesti inayoitwa Arusha-Raha...na hivyo zoezi la sensa lingewapita kushoto!
Wamekataa katakata na kusema bora waahirishe arusi kuliko kukosa sensa.
Wapeni ushauri zaidi!
Chanzo: Mimi ni mwanakamati!
Last edited by a moderator: